• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUCHUKUE HATUA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MVUA NA UGONJWA WA KIPINDUPINDU: RAS BALANDYA

Posted on: March 1st, 2024

TUCHUKUE HATUA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MVUA NA UGONJWA WA KIPINDUPINDU: RAS BALANDYA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amewataka watalaam wa usimamizi wa Maafa na wadau kupanga Mikakati na kuchukua hatua kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu na athari za mvua za Elnino ilikuepusha majanga yanayoweza kujitokeza.

Akingumza leo Machi Mosi, 2024 kwa niaba yake Katibu Tawala Msaidizi Seksheni ya Utawala na Rasilimali watu Daniel Machunda amesema bado inahitajika nguvu ya ziada kutoka kwenye mamlaka husika kudhibiti mifumo ya maji taka.


"Ugonjwa wa Kipindupindu ni rafiki wa uchafu, bado sehemu nyingi zinakabiliwa na changamoto hii tukiweka juhudi kwa kila taasisi husika tutautokomeza ugonjwa huu," amesisitiza Machunda.

Naye, Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Thomas Rutachunzibwa amesema makazi yasiyo na choo na sehemu zenye shughuli za wananchi na hakuna vyoo zinatakiwa zifanyiwe maboresho haraka iwezekanavyo.

“Tumewazuia mama lishe eneo la igombe kwa sababu walio wengi hawazingatii usafi kwenye kazi zao, na wakirudi wazingatie sheria za usafi” Mganga mkuu.

Kwa upande wake Afisa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa anayeshughulikia majanga Mhandisi Aaron Kalondwa ametumia kukwaa hilo kufafanua hatua za kuchukua kabla na baada ya majanga kutokea kwa wajumbe wa kikao kazi hicho.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti