• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUMEPOKEA ZAIDI YA TRILIONI 4 KWA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA

Posted on: March 22nd, 2024

TUMEPOKEA ZAIDI YA TRILIONI 4 KWA MIRADI YA KIMKAKATI MWANZA: RC MAKALLA


*Aishukuru Serikali ya Rais Samia ya kuzidi kujenga kiuchumi Mwanza*


*Asema miradi yote ikikamilika Mwanza itang'ara kiuchumi eneo la maziwa makuu*


Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Amina Makilagi leo Machi 22, 2024 ameipokea kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali na kuishukuru Serikali ya Rais Samia kwa kuleta mkoani humo zaidi ya Trilioni 4 kwa ajili ya miradi ya kimkakati.


Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Makilagi amesema Rais Samia ameonesha dhamira ya kweli ya kuupaisha kiuchumi mkoa huo kutokana na wingi wa miradi hiyo mikubwa.

"Mhe. Makamu mwenyekiti wa Kamati, Mkoa wa Mwanza kwa miaka mitatu mfululizo tumekuwa na Hati Safi hii maana yake tumetanguliza nidhamu ya matumizi yote sahihi ya fedha za Serikali na hata miradi hii mikubwa tunaisimamia vizuri na itamalizika kwa wakati," Mkuu wa wilaya.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya hesabu za Serikali ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Vwawa mkoani Songwe, Mhe. Japhet Hasunga amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa kuletewa miradi Mikubwa na pia usimamizi mzuri wa miradi hiyo

"Mkuu wa Mkoa ni mfuatiliaji mzuri wa miradi sisi tumefika hapa kujiridhisha na matumizi sahihi ya fedha za Serikali sitarajii kukutana na changamoto zozote kutokana na usimamizi mzuri wa uongozi wa Mkoa", Mhe.Hasunga

Kamati hiyo ikiwa mkoani Mwanza itatembelea miradi saba inayotekelezwa na fedha za Serikali ukiwemo  ujenzi wa Meli mpya ya Mv Mwanza na ukarabati wa Mv Victoria na Umoja, Ujenzi wa vivuko vya Serikali vinavyojengwa na kampuni ya Songoro Marine,na ujenzi wa Hoteli ya kitalii ya NSSF.

Miradi mingine ni huduma ya usambazaji maji Butimba, Jengo la mama na Mtoto Sekou Toure na Miradi ya barabara inayotekelezwa na TARURA.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti