• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUMIENI KEMIKALI KWA USAHIHI KUEPUSHA KUPOTEZA NGUVU KAZI YA TAIFA: RAS BALANDYA

Posted on: November 19th, 2024

TUMIENI KEMIKALI KWA USAHIHI KUEPUSHA KUPOTEZA NGUVU KAZI YA TAIFA: RAS BALANDYA


Wasimamizi shughuli za usimamizi wa Kemikali wametakiwa kuzingatia muongozo uliopo ili kuepuka kupoteza nguvu kazi ya Taifa na uharibifu wa mazingira.

Rai hiyo imetolewa leo Novemba 19, 2024 na Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Ndugu Balandya Elikana kwenye ukumbi wa mikutano TMDA, Buzuruga uliopo wilayani Ilemela wakati akifungua mafunzo ya siku mbili kuhusiana na matumizi sahihi ya kemikali yaliyoandaliwa na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Kanda, amebainisha matumizi tofauti madhara yake ni makubwa kwa jamii na sehemu nyingine.

"Pamoja na faida nyingi za kemikali katika maisha ya kila siku ya mwanadamu,matumizi tofauti madhara yake ni makubwa kwa afya na mazingira iwe katika uzalishaji,usafirishaji na uhifadhi,"Katibu Tawala

Amewataka washiriki hao kuongeza umakini kwa muda wa siku mbili wa mafunzo hayo ili kutimiza malengo ya Serikali ya usalama muda wote wakati wa matumizi ya kemikali.

Aidha ameipongeza Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa kutoa mafunzo hayo ambayo yataleta mageuzi chanya katika matumizi ya kemikali

Kwa upande wake Meneja Kanda kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Bw.John Mwanjala amesema awali kabla ya kutungwa sheria ya usimamizi na udhibiti wa kemikali za viwandani na majumbani ya mwaka 2003,kulikuwa na matumizi holela pamoja na uingizwaji nchini na kutumika pasipo usimamizi na kusababisha matukio mengi yaliyotokana na matumizi mabaya.

Washiriki hao wanatokea makundi mbalimbali ikiwemo kwenye migodi,viwanda vinavyozalisha vinywaji baridi na pombe pamoja na viwanda vya dawa mbalimbali.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti