• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

TUMIENI PROGRAMU YA GPE AWAMU YA TATU KUBORESHA SEKTA YA ELIMU: RAS BALANDYA

Posted on: March 6th, 2024

TUMIENI PROGRAMU YA GPE AWAMU YA TATU KUBORESHA SEKTA YA ELIMU: RAS BALANDYA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amewataka wadau wa elimu kutumia programu ya kuboresha kada ya Ualimu (GPE) kuboresha mazingira ya ufundishaji ambayo ni pamoja na walimu kupata nyumba bora na vitendea kazi vya kufundishia.

Amezungumza hayo leo Machi 6, 2024 kwenye kikao kazi cha kutambulisha programu ya GPE awamu ya tatu kilichohusisha Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa Elimu, Maafisa Mipango na wadau wa Elimu Mkoani Mwanza.

RAS Balandya amewaomba wadau wote kutumia muda vyema kuhakikisha wanaifahamu programu hiyo vizuri na kwenda kuitekeleza kwa ubora ili kusaidia kutimiza malengo yanayokusudiwa na program hiyo.

“Tutumie muda vizuri kujifunza kwa ukamilifu kuhakikisha program tunaifahamu vizuri na kwenda kuitekeleza kwa ukamilifu na kuwafikishia wote watakaohusika katika utekelezaji ili malengo yaliokusudiwa yatimie” RAS Balandya

Naye Afisa Mawasiliano Serikalini kutoka TAMISEMI, Fredrick Kibano amebainisha kwamba program hiyo inayolenga kuborehsa kada ya ualimu itaanza utekelezaji wake mara tu baada ya kuzinduliwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan huku akibainisha kuwa Tanzania ilijiunga kwenye mradi huu mwaka 2013.


“Mradi huu umejenga shule za msingi mpya zaidi ya 14 ambazo zimepunguza uhaba na kutoa vifaa saidizi kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum, ujenzi wa mambweni kwenye baadhi ya mikoa, pamoja na nyumba za walimu ili kupunguza uhaba” Kibano.

Vilevile, wadau mbalimbali wameupongeza mfumo wa programu hii kwa kuweza kuleta mabadiliko kwa kuboresha Sekta ya Elimu hususani kwa kuwakumbuka waalimu kwa kuwajengea nyumba za kuishi ambayo ilikuwa ni changamoto kubwa kwa baadhi ya maeneo nchini.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti