• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Tumieni Taaluma yenu ya uhasibu na ununuzi ili muwe wasimamizi bora wa fedha za umma: RAS Balandya

Posted on: November 24th, 2023

*Tumieni Taaluma yenu ya uhasibu na ununuzi ili muwe wasimamizi bora wa fedha za umma: RAS Balandya*


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana ametoa rai kwa wahitimu wa Taasisi ya Uhasibu tawi la Mwanza (TIA) kuitumia vyema elimu yao ili kuleta mageuzi chanya katika usimamizi wa fedha za umma hapa nchini.

Akizungumza leo Novemba 24, 2023 kwenye viwanja vya Taasisi hiyo eneo la Nyang'homango wilayani Misungwi wakati wa mahafali ya 21, Balandya amebainisha Bado kuna changamoto nyingi katika usimamiaji mzuri wa fedha za umma ikiwemo watumishi kukosa weledi na badala yake kuingiwa na tamaa na kujinufaisha binafsi.

"Nyie wote hapa ni mashahidi wa taarifa ya mara kwa mara ya mkaguzi na mdhibiti wa fedha za Serikali (CAG) inavyoonesha upotevu mkubwa wa fedha za umma, miradi kutokamilika na fedha husika kuliwa sasa hayo yote mnatakiwa mkayafanyie kazi mtakao  pata ajira Serikalini," amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akizungumza na wahitimu hao.

Ameipongeza pia Taasisi hiyo kwa kuwajengea uwezo mzuri wahitimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira kwa kuwa wabunifu wa kujiajiri.

"Nimejionea hapa kwenye mabanda yenu baadhi ya kazi za kujiajiri ambazo mmefanya, hii ni hatua nzuri sana kwani mkitoka hapa hamtakaa vijiweni na badala yake mtachangamkia fursa mbalinbali za kujiingizia kipato," Balandya.

Kwa upande wake Afisa Mtendaji Mkuu na Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania TIA Prof. William Pallangyo ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita chini ya uongozi wake Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha Taasisi hiyo kuwa na majengo yake baada ya kutumia ya kupangisha kwa muda mrefu tangu mwaka 2012.

"Mradi wa jengo letu umeghatimu Shs bilioni 7.8 ni la kisasa litakaloanza kutumika April mwakani," Prof. Pallangyo

"Ndugu mgeni rasmi Taasisi yetu hadi sasa Ina matawi sita na tupo mbioni kuongeza la Saba huko Zanzibar lengo letu likiwa ni kuwazaluaga wataalamu bora watakao kuwa chachu ya kukuza uchumi wetu."Amesema Wakili Said Musendo Mwenyekiti wa bodi.

Awali kabla ya mahafali hayo mgeni rasmi alizindua kozi nyingine tano kwenye Taasisi hiyo ikiwemo masoko na Rasilimali watu na uhasibu na stadi za biashara.

Jumla ya wahitimu 947 wametunukiwa vyeti kwa ngazi mbalimbali kuanzia cheti, shahada na astashahada ya elimu ya

 Uhasibu na manunuzi


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti