• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWANZA UTAKUA WA AMANI : MTANDA

Posted on: November 6th, 2024

UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MWANZA UTAKUA WA AMANI : MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa viongozi wa dini mkoani humo kuendelea kuhamasisha wananchi kujiandaa kushiriki kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao utakua huru kwani utazingatia sheria na kanuni za uchaguzi.

Ametoa wito huo leo Novemba 06, 2024 wakati akihutubia kongamano la viongozi wa dini kutoka kamati ya amani ya Mkoa wa Mwanza lililofanyika mahususi kuhamasisha upigaji kura kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa wa Novemva 27, 2024.

Ameongeza kuwa Mkoa wa Mwanza umejipanga kuhakikisha uchaguzi wa Serikali za mitaa unakua wa haki, uhuru na amani kwa kufuata sheria, kanuni, taratibu za uchaguzi na kwamba wananchi wanapaswa kujiandaa kushiriki bila hofu yoyote.

"Mkoa wa Mwanza tulilenga kuandikisha watu milioni 1.9 lakini tumeandikisha watu milioni 2.86 sawa na asilimia 106 na tumeshika mafasi ya 3 kwa mikoa , nawashukuru sana viongozi wa dini kwa hamasa yenu na nitaendelea kushirikiana nanyi kila siku."

Vilevile, amewataka wananchi kujiepusha na mizengwe ya uchaguzi na kutowekeana mapingamizi yasiyo na sababu baina ya chama kimoja na kingine na kwamba ni lazima wasimamizi wa uchaguzi huo wamtangaze mshindi mara moja bila kusubiri jambo lolote.

Sheikh wa Mkoa wa Mwanza Hassan Kabeke ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Kamati ya amani amesema uchaguzi upo kwenye vitabu vya dini hivyo viongozi wa dini wanapaswa kuhakikisha wanahamasisha wananchi kushiriki tena kwa amani.

Mwenyekiti Mwenza Kamati ya Amani ya Viongozi wa dini Mkoa wa Mwanza  Askofu Charles Sekelwa amesema demokrasia siyo haki tu ya kupiga kura bali pia nafasi ya wananchi baada ya kusikiliza sera kuamua ni nani wamchague kwani watakua wameshajua nini atawapatia.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti