• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

UFAULU MATOKEO KIDATO CHA SITA WAPANDA MWANZA, SENGEREMA SEKONDARI KINARA

Posted on: July 9th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ameipongeza sekta ya elimu mkoani humo kwa kupandisha ufaulu wa wanafunzi katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita 2025 kwa asilimia 99.92 kwa daraja la 1 hadi 4 kutoka asilimia 99.7 mwaka 2024.

Mhe. Mtanda ametoa pongezi hizo leo Julai 09, 2025 wakati akiongea na wanahabari na wataalamu wa idara ya elimu katika kikao cha tathmini ya matokeo ya mtihani wa kidato cha sita ndani ya halmashauri nane za mkoa huo.


Amebainisha kuwa Sengerema Sekondari imekua kinara kwa kufaulisha kwani wanafunzi wote zaidi ya 600 wamepata daraja la 1-3 na kutokua na daraja la 4 wala sifuri huku Nsumba sekondari wakishika nafasi ya 2 na Bwiru wasichana wakishika nafasi ya 3.

“Natoa pongezi kwa wataalamu wa Idara ya Elimu, Wazazi na wanafunzi wenyewe kwa juhudi zao binafsi kwani tukichukulia wanafunzi waliofaulu daraja la 1 ni 3013 sawa na 53% kwa mwaka huu wakati mwaka 2024 walifaulu kwa 50% pekee.” Amesema Mhe. Mtanda.


Aidha, amefafanua kuwa wanafunzi 3 kutoka Sengerema wamepata Daraja la 1 kwa alama 3 za ufaulu huku Nsumba sekondari akipatikana mmoja na kwamba Mkoa utawapongeza rasmi wanafunzi hao pamoja na wazazi/walezi na walimu.


Katika vituo 99 vyenye watahiniwa 5767, jumla ya watahiniwa 5690 mwezi mei 2025 walifanya mtihani huo ambayo ni sawa 98% huku 2% wakishindwa kufanya kutokana na sababu mbalimbali na kwamba Julai 07, 2025 NECTA ilitangaza matokeo


Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti