• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO UNAHITAJI UWAJIBIKAJI WA PAMOJA

Posted on: January 30th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesisitiza umuhimu wa uwajibikaji wa pamoja katika usimamizi wa miradi ya maendeleo kuanzia ngazi ya juu hadi ya chini, akisema kuwa jukumu hilo halipaswi kubebwa na watendaji wachache pekee.

Mhe. Mtanda ametoa kauli hiyo mchana wa leo Januari 30 wakati wa ziara yake ya kikazi Wilayani Magu baada ya kubaini kuwa Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nenge Mwl. Jonathan Paul alivuliwa cheo na kushushwa kuwa mwalimu wa kawaida kwa madai ya kushindwa kusimamia ujenzi wa Shule Mpya ya Msingi Bugumangala.

Mkuu wa Mkoa amesema kuwa usimamizi wa ujenzi wa miradi ya maendeleo ni jukumu la pamoja linalohusisha watendaji mbalimbali, akiwemo Afisa Elimu, Mhandisi wa Halmashauri pamoja na Watendaji wa Kata na Kijiji, hivyo si sahihi kumuwajibisha Mwalimu Mkuu pekee huku watendaji wengine wakiachwa bila kuchukuliwa hatua.

Kutokana na hali hiyo, Mhe. Mtanda ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina ili kubaini iwapo Mwalimu Mkuu huyo alitendewa haki au la katika hatua iliyochukuliwa dhidi yake.

Aidha, Mkuu wa Mkoa ameagiza kuwa ujenzi wa Shule ya Msingi Bugumangala ukamilike ifikapo mwezi Machi mwaka huu, huku akisisitiza kuwa hatua stahiki zichukuliwe kwa watendaji wote watakaobainika kuwa walishindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo.

“Serikali imeleta fedha alafu nyie mnashindwa kuzisimamia tu kwa kujenga miradi, hii si sawa nataka wahusika wote mje mkeshe hapa usiku na mchana muhakikishe mradi huu unakamilika na si vinginevyo.”

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti