• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA- MSIGWA

Posted on: May 3rd, 2025

UZALISHAJI ZAO LA PAMBA WAONGEZEKA-  MSIGWA


Msemaji Mkuu wa Seiikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamadini, Sanaa na michezo Ndg, Greyson Msigwa amesema uzalishaji wa zao la Pamba mwaka huu 2024/25 umeongezeka kutoka tani 180,000 hadi 400,000 kutokana na jitihada za Serikali za mageuzi kwenye kilimo.

Akizungumza leo Mei 3, 2025 katika kipindi cha miaka minne katika kijiji cha Sayu mkoani Shinyanga, Msigwa amebainisha kuwa Rais Samia kwa kutambua umuhimu wa kilimo ameiongezea bajeti Wizara hiyo kutoka Tshs. Bilioni 200 hadi Trioni 1.

"Mhe Rais alisema bayana amedhamiria kuona kunakuwa na tija kubwa katika kilimo cha kisasa ili mkulima afaidike na kuongeza pato la Taifa kwa  uhakika",Msemaji wa Serikali'

Msigwa ameendekea kubainisha ongezeko hilo la bajeti limeboresha maeneo mbalilbali ikiwemo ununuzi wa ndege Nyuki kwa ajili ya upuliziaji wa dawa ya kuuwa wadudu shambani.

Hali kadhalika, amesema Maafisa ugani wameendelea kujengewa uwezo pamoja na kupatiwa vitendea kazi vya uhakika ili waweze kuwafikia wakulima na kuwajengea uwezo wa mbinu bora za kilimo.

Msigwa akiwa mkoani Shinyanga ametelmbelea uwanja wa ndege uliipo eneo la Ibadakuli unaojengwa na kampuni ya Chikov kwa gharama ya zaidi ya Tshs. bilioni 44 na kutarajiwa kukamilka Juni mwaka huu.

"Serikali imejenga shule maalum za waichana 26 nchi nzima lengo kuwapata wataalamu wengi Wanawake hususan kwenye michepuo wa Sayansi", Amesema Msigwa akiwa katika shule ya wasichana iliyopo Old Shinyanga iliyojengwa kwa Tshs. billoni 4 .

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti