• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI NI KIZUIZI CHA AFUA ZA LISHE BORA

Posted on: February 6th, 2025

VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI NI KIZUIZI CHA AFUA ZA LISHE BORA


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza ndugu Balandya Elikana ametoa wito kwa Viongozi wa dini na asasi za kiraia mkoani humo kushirikiana na serikali kuelimisha jamii juu ya madhara ya vifungashio vya plastiki kwenye lishe bora.

Ametoa wito huo leo tarehe 06 Februari, 2025 wakati akifungua kikao cha tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa Lishe ngazi ya Mkoa kwa kipindi cha Mwezi Oktoba- Desemba, 2024 uliowakutanisha wataalamu na wadau mbalimbali.

Amesema, kiafya kuna madhara makubwa sana kula chakula kilichohifadhiwa kwenye kifungashio cha plastiki mathalani maziwa ya ng'ombe na chakula cha moto kinachowekwa kwenye mifuko hivyo jamii ni ielimishwe kuacha tabia hiyo mara moja.

Awali, Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Jesca Lebba alifafanua kuwa suala la lishe ni mtambuka na kila mmoja anapaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza afua za lishe ikiwemo uhifadhi wa chakula unaokubalika ili kulinda virutubisho.

Aidha, ametoa wito kwa halmashauri kupanga bajeti na kuitekeleza ili kuwezesha watoto wa shule kupata chakula wakati wa masomo na kushirikiana na wadau katika kuhamasisha upandaji wa miti ya matunda shuleni.

Ameongeza kuwa wajawazito wanapohudhuria kliniki wanapewa dawa za fefo zenye mchanganyiko wa virutubisho vya madini chuma na foliki asidi kwa ajili ya kuwaongezea damu hivyo hawana sababu ya kutumia udongo ambao una athari kiafya.

Kwa upande wa wadau hao wameshauri Kamati ya Lishe Mkoa kufanya juhudi za binafsi kufuatilia biashara ya Udongo unaotumiwa na wajawazito (Pemba) ambao una athari kiafya kwani unamuathiri mtumiaji na mtoto wa tumboni.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti