• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

VIJANA WAFUGAJI WA SAMAKI WANUFAIKA NA MKOPO WA MILIONI 360+

Posted on: August 25th, 2025

Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa kutumia fungu la asilimia 4 kutoka kwenye mapato ya ndani imetoa mkopo wa zaidi ya milioni 360 kwa vikundi vitano vya vijana na kuwawezesha kuanzisha shamba la ufugaji samaki kwa njia ya vizimba ndani ya ziwa victoria.

Akizindua shamba hilo katika mtaa wa Ihumilo kata ya Luchelele leo Agosti 25, 2025 Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bw. Ismail Alli Ussi amewapongeza Viongozi wa Halmashauri na Wilaya hiyo kwa kuliwezesha Kundi hilo.

Kiongozi huyo amesema Halmashauri hiyo inatekeleza sera ya uchumi wa buluu kama dira ya kukwamua watu na uchumi kwani kwa kuinua mtaji yao na kuwawezesha kuwa matajiri wa siku za usoni na kwamba itawasaidia hata kuanzisha biashara zingine.

Aidha, ametoa wito kwa vikundi hivyo kuhakikisha wanarejesha mikopo hiyo ili makundi makundi mengine yaweze kukopeshwa pia na amewataka kuwa wazalendo na waadilifu na wenye kujiendeleza kielimu ili kufanya miradi yao kuwa endelevu.

Naye, Mwenyekiti wa umoja wa vikundi vya vizimba Ihumilo ndugu Ndongo Makina ameishukuru serikali kwa kuwawezesha mtaji huo huku akibainisha kuwa unakwenda kuinua maisha yao kwani wanafuata masharti na kanuni za biashara na uwekezaji wa miradi chini ya usimamizi ya wataalamu kutoka halmashauri hiyo.

Aidha, ameahidi kuendelea kufuata masharti ya ufugaji bora wa samaki katika kuhakikisha wanaendeleza masalia ya samaki pamoja na kutunza mazingira ya majini.

Katika wakati mwingine, Mwenge wa Uhuru umezindua Barabara ya kiwango cha zege katika mtaa wa Genge la hewa na kituo cha afya Mkolani, umekagua mradi wa nishati safi ya kupikia pamoja kuzindua kituo cha polisi katika mtaa wa Nyegezi ambacho kitakua msaada sana kwa abiria wa kituo cha mabasi cha eneo hilo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti