• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

VIJANA ZIDISHENI UBUNIFU ILI MKUZE KIPATO UFUGAJI WA SAMAKI KISASA: RC MTANDA

Posted on: December 10th, 2024

VIJANA ZIDISHENI UBUNIFU ILI MKUZE KIPATO UFUGAJI WA SAMAKI KISASA: RC MTANDA


Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mh. Christopher Ngubiagai amewataka vijana wanaojishughulisha na ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba kuzidisha ubunifu katika mradi huo ili kukuza mtaji na kuongeza kipato chao.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na vijana hao mapema leo  asubuhi Disemba 10,202  eneo la Kisoko kata ya Luchelele wakati wa zoezi la uvunaji wa samaki tani 2 kikundi cha Isingiti, Mh. Ngubiagai amebainisha uchumi wa bluu hivi sasa umekuwa mkombozi kwa vijana hivyo kazi iliyopo sasa ni kupanua wigo utakaosaidia kusonga mbele kimaendeleo.

"Serikali ya Rais Dkt.Samia imeweka mazingira mazuri katika sekta hii ya uvuvi,mikopo inayotolewa na benki ya TADB ni nafuu,hakuna tena sababu ya vijana kukaa vijiweni badala yake ni kuchangamkia fursa hii ili kujiletea maendeleo",Mkuu wa wilaya.

Aidha amevipongeza vikundi vya vijana hao kwa nidhamu ya urejeshaji wa mikopo kwa asilimia 100 hali inahofanya kuwepo kwa mzunguko mzuri kwa wakopaji wengine.

"Ndugu mgeni rasmi leo unashuhudia uvunaji huu wa samaki uliotokana na mkopo kutoka benki ya TADB wa zaidi ya shs milioni 122 uliotuwezesha kununua vizimba 8 kwa gharama ya zaidi ya shs milioni 33 na kupandikiza vifaranga 80,650 vilivyogharimu zaidi ya shs milioni 14,"Omari Mangu,Katibu wa kikundi.

Kwa upande wake Meneja wa benki ya TADB Kanda ya ziwa Samson Siyengo amesema jumla ya shs bilioni 4 zimetolewa kwa vikundi vya ufugaji wa samaki mkoani Mwanza na awamu ijayo watatoa shs bilioni 5.

Mradi wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ulizinduliwa rasmi na Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan Januari 30,2024 kwenye uwanja wa Nyamagana mkoani Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti