• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

VIONGOZI WA CCK NA MAKINI TAIFA WAMPA KONGOLE RC MTANDA USIMAMIZI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Posted on: November 28th, 2024

VIONGOZI WA CCK NA MAKINI TAIFA WAMPA KONGOLE RC MTANDA USIMAMIZI WA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA


Viongozi wa Vyama vya Makini na CCK Taifa wamempongeza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na Wasaidizi wake katika kuhakikisha uchaguzi Mkoani humo umefanyika kwa utulivu na amani.

Pongezi hizo zimetolewa na Viongozi hao mapema leo Novemba 28, 2024 katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, na Mwenyekiti wa Makini Taifa Mhe. Coaster Kibonde na Mwenyekiti wa CCK Taifa Mhe. David Mwaijojele.


Akizungumza na Waandishi habari Mhe. Kibonde amesema Mkoa wa Mwanza ni Mkoa pekee ambao umeonesha dhahiri kuendana na zile R nne za Mhe. Rais Dkt. Samia kwa kusimamia na kutekeleza demokrasia kwa haki na usawa.

"Mimi kama Mwenyekiti wa Kitaifa nilipofika Mwanza tu niliuliza vipi kuna wagombea wowote walioenguliwa nilijibiwa hapana hakuna alienguliwa na ndivyo hali ilivyokuwa'. Mwenyekiti wa Chama cha Makini Taifa.


Naye Mwenyekiti wa CCK Taifa amesema kwa siku ya jana alifanikiwa kutembelea baadhi ya Vituo vya kupigia kura katika Mkoa wa Mwanza na kuwahoji baadhi ya wapiga kura kuhusu namna zoezi hilo lilivyokuwa likiendelea na kubaini kuwa hakukua na buguza ya aina yoyote, utulivu na amani vilitawala.


"Nawapongeza Mkoa wa Mwanza kwa utulivu na watu kushiriki kampeni mpaka jana uchaguzi kwa amani na utulivu licha ya uwepo wa mvua kubwa hata kuengua engua hatujaskia kabisa hivyo nawapongezeni sana na ninampa RC Mtanda Big Up". Mhe. Mwaijojele.


Kuhusu kushinda au kushindwa Viongozi hao wamesema wataendelea kuwapongeza na kuwaunga mkono wale wote watakaoshinda kwa kuwa sasa uchaguzi umeisha na zoezi lililobaki ni kuungana kama Taifa na kujadili kuhusu maendeleo.

Aidha Viongozi hao wameishukuru Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa kusimamia vyema uchaguzi kuanzia zoezi la uchukuaji fomu mpaka upigaji kura uliofanyika hapo jana ambapo zoezi linaloendelea kwa sasa ni utangazaji wa matokeo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti