• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Viwanja vya Shule zote Mwanza vyatakiwa kupanuliwa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu

Posted on: January 16th, 2023

*Viwanja vya Shule vyatakiwa kupanuliwa kusaidia Ujenzi wa Miundombinu*


Halmashauri ya wilaya ya Ukerewe imekamilisha Ujenzi wa vyumba vya Madarasa 76 vyenye thamani ya Bilioni 1.52 kwa ajili ya wanafunzi 10439 waliofaulu kujiunga na Kidato cha kwanza 2023 ambao wanaendelea kusajiliwa kwa ajili ya kuanza Mwaka wa masomo.

Akiongea na wananchi kwenye hafla ya makabidhiano iliyofanyika kwenye shule ya Sekondari Mumbuga, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Adam Malima ametoa wito kwa viongozi wa Wilaya zote Mkoani humo kuweka mpango wa kuongeza maeneo kwenye Shule zote zenye maeneo finyu ili kuwa na eneo la kujenga Miundombinu mingine siku za baadae.

"Madarasa haya 76 ni miongoni mwa 980 yaliyojengwa Mkoani Mwanza nasi ndio tumeongoza kwa kupata fedha nyingi za Ujenzi nchini, tunamshukuru sana Mhe. Rais kwa sababu ametujali na tutanufaika sana na miundombinu hii, nawasihi tulipe wema kwa wema na kipekee tuhakikishe tunawaleta watoto shule." Amesema Malima.

Aidha, ametoa wito kwa viongozi wa Halmashauri hiyo kukamilisha Maboma ya Madarasa kwenye shule zote ili kuunga mkono juhudi za wananchi walioanzisha Ujenzi kwa kujitolea nguvukazi na katika kuhamasisha hilo Mhe. Malima amechangia Mifuko 40 ya Saruji.

"Madarasa haya hayatakua na maana kama watoto hawatakuja kusoma hivyo nawaomba tuhamasishane wazazi, walezi na wadau wote kuwaleta wanafunzi wote waliochaguliwa kuja kujiunga kidato cha kwanza mapema iwezekanavyo." Amesema Katibu Tawala Mkoa.

Kanali Denis Mwila, Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe amemshukuru Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwaletea fedha za kujenga Madarasa hayo pamoja na utengenezaji wa seti za Viti na Meza 3800.

"Mbinu ya kufanya manunuzi kwa pamoja (Bulk purchase) imesaidia kupata vifaa vya Ujenzi kwa gharama za chini na utengenezaji wa seti meza na viti 3800 umefikia asilimia 98 na ifikapo Januari 18, 2023 zoezi hilo litakua limekamilika ikiwa ni pamoja na kufikisha Samani hizo kwenye shule zote." Emmanuel Sherembi, Mkurugenzi wa Halmashauri Ukerewe.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti