• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAFANYABIASHARA WALIOPISHA UJENZI SOKO LA MJINI KATI WATAPEWA KIPAUMBELE - RC MTANDA

Posted on: February 27th, 2025

WAFANYABIASHARA WALIOPISHA UJENZI SOKO LA MJINI KATI WATAPEWA KIPAUMBELE - RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewaahidi wafanyabiashara 802 walioondolewa mwaka 2019 kupisha ujenzi wa Soko Kuu la Mjini Kati kupata vizimba na vibanda kwenye soko jipya hivi karibuni kufuatia kukamilika kwake hadi sasa.

Ametoa kauli hiyo leo tarehe 27 Februari, 2025 alipokutana na wafanyabiashara hao pamoja na uongozi wa Wilaya ya Nyamagana katika ukumbi wa Ofisi yake kufuatia upotoshaji kuwa vibanda vya soko hilo la kisasa vimegawiwa kwa wengine.

Mhe. Mtanda amesema amebaini ya kwamba kuna baadhi ya watumishi kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza wamekua wakiwalaghai wafanyabiashara wapya kuwa watawapa fursa na kujipatia fedha kinyume na utararibu.

Ameongeza kuwa ugawaji wa vibanda na vizimba kwenye soko jipya unafanyika kwa kushirikiana na viongozi wa soko hilo kwa kuwabaini wale wote wenye Ilani halali na halisi walizokabidhiwa wakati wa kupisha mradi na kwamba wengine wenye ilani bandia watachukuliwa hatua pamoja na waliowapatia.

Mkurugenzi wa Halmashauri Jiji la Mwanza Wakili Kiomon Kibamba amesema soko lina nafasi 1365 na kwamba wafanyabiashara 802 walioondolewa ndiyo watakaopewa maeneo kwanza na ndipo maeneo 555 waendeleee na mchakato mwingine wa kisheria wa kuyauza.

"Hakuna mfanyabiashara mwenye ilani halisi katika wale 802 atakayekosa eneo la biashara na kwa sasa kamilisheni tu utaratibu kwa wale ambao hawana leseni za biashara ili kukidhi matakwa ya kisheria." Mkurugenzi Kibamba.

Naye, Mwenyekiti wa Soko hilo Hamad Mchola amebainisha kuwa mwezi Septemba 2019 kwa kushirikiana na uongozi wa halmashauri ya jiji la Mwanza walipisha ujenzi wa soko la mjini kati kwa ahadi ya kurejeshwa mara ujenzi utakapokamilika.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti