• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAKAZI 3147 KIJIJI CHA MHULYA KWIMBA WANUFAIKA NA MRADI WA MAJI

Posted on: September 14th, 2024

WAKAZI 3147 KIJIJI CHA MHULYA KWIMBA WANUFAIKA NA MRADI WA MAJI


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa kijiji cha Mhulya kutoka 40% hadi 90% kutokana na kuwajengea mradi wa maji wenye thamani ya Tshs. 667.1 milioni fedha za mfuko wa maji wa Taifa na PforH.

Mhe. Mtanda ametoa shukrani hizo leo tarehe 14, 2024 katika Kijiji cha Mhulya kilichopo Kata ya Ngula Wilayani Kwimba wakati akikagua mradi wa maji kutoka kwenye chanzo cha kisima kirefu cha mita 80 chenye uwezo wa kuzalisha maji lita 12,336 kwa saa ambao umekamilika tangu mwezi juni 2023 chini ya usimamizi wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA).

Aidha, Mhe. Mtanda amewataka wananchi kulinda miundombinu ya mradi huo na viongozi wanaosimamia jumuia ya watumia maji kuketi na wananchi na kukubaliana nao juu ya bei ya kuuziana maji kwenye mradi huo.

 "mnaweza mkaamua kama uchangiaji wa huduma na fedha zinazopatikana zitumike kufanya ukarabati na marekebisho ya miundombinu itakapohitajika". Ameongeza Mhe. Mtanda.


Vilevile, Mkuu wa Mkoa amewahamasisha wananchi hao kujiandikisha kwenye orodha ya daftari la wapiga kura na kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika novemba 27.

Naye Meneja wa RUWASA Wilaya ya Kwimba Mhandisi Godliva Gwambasa amesema mkandarasi KPR ameshakamilisha kazi na maji yanatoka kwenye vituo vyote 9 vya kutolea maji kwenye kijiji hicho na mradi huo kwa sasa unaendeshwa na wananchi wenyewe chini ya chombo cha kuendeshea maji (CBWSO) cha kijijini hapo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti