• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA KUKUZA UCHUMI

Posted on: January 30th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda ametoa wito kwa wakulima mkoani humo kutumia fursa ya uwepo wa mfumo wa stakabadhi za ghala kwa ajili ya kupata uhakika wa masoko na hususani kukuza uchumi wao.

Ametoa wito huo leo tarehe 30 Januari, 2026 wakati akifunga mafunzo ya siku tano kwa washiriki 111 ambao ni mameneja wa maghala ya mazao na watunza kumbukumbu yaliyoratibiwa na Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za ghala katika kuelekea msimu wa zao la Choroko 2026/27.

Mhe. Amesema serikali imeweka mfumo rasmi wa kusajili wakulima nchini na mazao wanayolima ili kujua ni mazao gani yanazalishwa kwa wingi na hali ya masoko na kuhakikisha inaleta mageuzi kwenye sekta ya kilimo.

Aidha, amewataka wasimamizi wa mfumo huo kuhakikisha wanatunza kumbukumbu vizuri kwa kuwaingiza kwenye kanzidata wakulima wote na hali ya uzalishaji wao ili kupata msingi wa namna ya kutafuta masoko kwani kutanua na taarifa za eneo linalolimwa na hali ya uzalishaji.

“Tamaa ni mbaya na haiwezi kumsaidia kijana yeyote, tufanye kwa kuzingatia sheria na taratibu za nchi ili kusogeza mbele sekta ya kilimo na uzalishaji kwa ujumla, twendeni tukawasaidie wakulima kwa uzalendo.” Mhe. Manda.

Ametoa wito kwa vijana kutumia maarifa waliyoyapata kwenye vyuo kuleta mabadiriko chanya katika jamii kwa kuyatumia kwa manufaa ya wengine waliokosa elimu ambao wanawaangalia wasomi kama kioo kwao na wakafanye hayo kwa uadilifu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti