• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WANAHABARI MWANZA WATAKIWA KUTOA HABARI SAHIHI KUELIMISHA JAMII

Posted on: December 14th, 2024

WANAHABARI MWANZA WATAKIWA KUTOA HABARI SAHIHI KUELIMISHA JAMII


Waandishi wa Habari mkoani Mwanza wamekumbushwa kuzingatia maadili ya taaluma yao wakati wanatimiza majukumu ya kila siku ili jamii ijengwe kwenye misingi ya ukweli.

Rai hiyo imetolewa jana tarehe 13 desemba, 2024 na mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe. Christopher Ngubiagai kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwenye hafla ya usiku wa Wanahabari iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mwanza Hoteli.

Amebainisha vyombo vya habari ni muhimili muhimu hivyo ili kuepuka migongano isiyo na tija waandishi wa habari wana wajibu wa kujiridhisha na usahihi wa kile wanachokusudia kuwafahamisha wananchi.

"Ndugu zangu wana habari wote hapa ni mashuhuda Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan anavyozidi kuwawekea mazingira mazuri ya kazi zenu na hasa anavyosisitiza ushirikiano baina ya Serikali na vyombo vya habari, tuendelee kutumia kalamu zetu vizuri na hata pale kwenye kukosoa  uungwana utumike na isiwe karaha kwa mlengwa,"mkuu wa wilaya.

Comrade Ngubiagai ametolea mfano Mkoa wa Mwanza umekuwa na miradi mingi ya kimkakati,waandishi wa habari wanatakiwa kutumia nafasi hiyo ili wananchi wapate ufahamu wa kina namna Serikali yao inavyowaletea maendeleo.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa chama cha waandishi habari mkoani Mwanza,MPC Bw.Edwin Nsoko amesema huo ni utaratibu waliojiwekea wa kila mwaka kuwa na usiku wa pamoja kwa kushirikiana na wadau wao mbalimbali na kubadilishana uzoefu wa shughuli zao.

"Mheshimiwa mgeni rasmi kazi zetu zinahitaji ushirikiano wa dhati ili kutimiza vizuri majukumu yetu hapa zipo Taasisi mbalimbali za Serikali na binafsi ambazo tumeshirikiano nazo kuhakikisha tunajenga uchumi wa Taifa letu,"Mwenyekiti MPC

"Hivi sasa tunazidi kujiimarisha katika sekta ya usafiri wa maji kwenye maziwa ya Victoria,Tanganyika na Nyasa,Meli mpya  ya Mv Mwanza ipo mbioni kuanza safari zake na itafika hadi Kenya na Uganda,ni dhahiri shughuli za kiuchumi zitapiga hatua hivyo vyombo vya habari vina wajibu wa kuwaemisha wananchi fursa zilizopo kupitia mradi huu,"Erick Hamisi,mkurugenzi mtendaji TASHICO.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti