• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WANAHABARI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KURIPOTI TAARIFA BINAFSI

Posted on: March 22nd, 2025

WANAHABARI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KURIPOTI TAARIFA BINAFSI

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania (PDPC) Dkt. Emmanuel Mkilia amewataka waandishi wa habari kuzingatia sheria ya Tume hiyo katika kutoa taarifa binafsi za wananchi ili kulinda utu na faragha.

Dkt. Mkilia ametoa rai hiyo leo Jumamosi Machi 22, 2025 wakati akifungua mkutano na semina ya Waandishi wa Habari ambao tume hiyo imewaandalia ili kuwajengea uwezo juu ya majukumu ya tume hiyo nyeti.

Amesema, kuna madhara ya kijamii na hata kiuchumi endapo faragha za mtu zitazagaa bila ya ruhusa yake hivyo ni wasaa mzuri sasa wanahabari kufahamu sheria iliyoanzisha Tume hiyo na kuzingatia.

Ameongeza kuwa, pamoja na changamoto za kidigitali ambazo zinakuja kwa kasi Duniani kote bado wanahabari na wananchi wote wana wajibu wa kulinda siri za mtu ili kulinda utu wake pasipo kuathiri biashara ya kimtandao.

“Tumekuja Mwanza pamoja na mambo mengine tumekuja kuwajengea uwezo taasisi mbalimbali ili wapate uelewa wa sheria iliyoanzisha tume hii mwaka 2022 kwa sheria namba 11 na ikaanza kazi rasmi Mei 01, 2023 pamoja na uelewa wa ujumla wa ulinzi wa taarifa binafsi.” Dkt. Mkilia.

Akiwasilisha mada ya asili ya tume hiyo, Mhandisi Stephen Wangwe amebainisha kuwa Mkoa wa Mwanza upo chini kwa taasisi zake kujisajili kwenye mfumo wa tume hiyo na kwamba hali hiyo inatoa kiashairia kwamba Taarifa za watu bado haziko salama.

Semina hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza huku ikilenga kutoa fursa kujifunza na kujengeana ulewa wa kina jinsi ya kulinda faragha za watu katika kazi za habari.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti