• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WANANCHI MKOANI MWANZA WAANDAA MBIO ZA POLE NA PONGEZI ZA MAFANIKIO SEKTA YA AFYA

Posted on: October 25th, 2025

Wananchi Mkoa wa Mwanza wameandaa mbio ambazo zitafanyika kesho Oktoba 25, 2025 zikianzia uwanja wa Furahisha hadi hospitali ya Rufaa ya Mkoa Sekou-Toure zilizolenga kutoa pole kwa wagonjwa mkoani humo na kujenga afya pamoja na kupongeza maboresho yaliyofanyika katika sekta ya afya.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 24, 2025 Meneja wa kituo cha michezo Bilo Ndg. Hamisi Bilali amwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kuja kuziungamkono mbio hizo amabazo zitaambatana na zoezi la kupima afya pamoja na kufanya usafi katika hospitali hiyo.

Ndg. Athumani amesema katika mbio hizo wanatarajia kuwa na washiriki zaidi ya 200 na ameishukuru serikali ya Mkoa idara ya afya kwa kukubali na kuunga mkono tamasha lao ambalo limebeba kauli mbiu ya afya yangu mtaji wangu twende tukapige kura.


Ameongeza kuwa wamehamasika kuandaa tamasha hilo kutokana na mafanikio na uwekezaji mkubwa uliofanyika katika sekta ya afya Mkoani mwanza sambamba na kuwahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025.

Naye Mganga Mkuu Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amewashukuru wadau wa michezo kwa kuleta wazo la mbio hizo ambapo amesema sekta ya afya ndani ya Mkoa huo inalipokea jambo hilo kama tunu ya kuchagiza afya bora kwa jamii.

Amesema tamasha la mbio hizo za pole zenye lengo la kujenga afya na kupongeza maboresho katika sekta afya mkoani Mwanza zinasawili kwani katika kipindi chamiaka minne tumeshuhudia maboresho ya zaidi ya asilimia mia moja kuanzia ajira mpya, miundombinu, madawa na vifaa tiba.

Akitolea mfano wa maboresho katika sekta ya afya mganga mkuu amesema mwaka 2021 mkoa ulikua na vituo vya kutolea huduma za afya 322 lakini hivi sasa serikali imejenga vituo hadi kufikia 573.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti