• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WANANCHI MWANZA WATAKIWA KUCHANGAMKIA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Posted on: January 30th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewataka wananchi mkoani humo kujiunga na huduma za bima ya afya kwa wote iliyozinduliwa kwa awamu ya kwanza na Waziri wa Afya Januari 26, 2026 ili kujihakikishia matibabu ya uhakika.

Mhe. Mtanda ametoa wito huo leo tarehe 30 Januari, 2026 wakati akikagua ujenzi wa wodi ya wazazi katika kituo cha Afya cha Nyanguge kinachohudumia wananchi 22865 kutoka katika kata hiyo na kata jirani.

Mhe. Mtanda amesema ukamilifu wa wodi hiyo utasaidia kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi hivyo ni lazima Mkurugenzi Mtendaji akamilishe kwa haraka ujenzi wa wodi hiyo kwa kuongeza pia fedha kiasi cha Tshs. Milioni 50 kwani serikali imeleta Milioni 200.

“Serikali imezindua mpango wa bima ya afya kwa wote, naomba liwepo dawati la huduma za bima ya afya ili wasihangaike na zile kero za wagonjwa kuomba msamaha au wakati wa kuwatoa ndugu zao waliofariki ziishe. “ Mkuu wa Mkoa.

Aidha, amewataka viongozi wa Mwanza kukamilisha taratibu za uanzishwaji wa eneo la uwekezaji ili lianze kazi kwani litainua uchumi wa wananchi wa mkoa wote wa Mwanza na akatoa wito kuepuka migogoro wa ardhi wakati wa utekelezaji wa mradi.

“Nataka niwaambie watu wa Magu, mkitaka mafanikio basi eneo la Viwanda la Matela B katika kijiji cha Matela ni lazima mulichagamkie kwa kukaa na wawekezaji kuona namna ya kufikia muafaka kwenye upimaji na uchukuaji wa maeneo kwa wanaanchi bila kusababisha migogoro.” Mhe. Mtanda.

Naye, Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba amesema bima ya Afya kwa wote inatoa fursa ya kuunganishwa watu 6 kutoka kwenye Kaya kwa Tshs. 150,000 ambao watapata huduma kuanzia ngazi za zahanati hadi rufaa mkoa na hivi karibuni uandikishaji unaanza.

Ameongeza kuwa bima ya afya kwa wote inajumuisha huduma 372 kwa kiasi hicho tu cha fedha na inatoa fursa kwa matibabu ya upasuaji, madawa na hata huduma za dharula na kwamba inatoa fursa kwa wategemezi kuhudumiwa ndani ya kifurushi cha kaya ya watu sita tofauti na hapo awali.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti