• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Wanaohujumu ujenzi wa Daraja la JP Magufuli wapewa onyo na Serikali

Posted on: December 2nd, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Adam Malima ametoa rai kwa wananchi wanaozunguka Mradi wa Ujenzi wa daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi) linalotekelezwa kwa Shilingi Bilioni 700 kuacha tabia ya wizi na udokozi wa vifaa kwenye mradi huo ili likamilike kwa wakati na kuwahudumia wananchi.

Amesema hayo leo Disemba 02, 2022 Ofisini kwake wakati alipotembelewa na Uongozi wa kampuni ya Mkandarasi anayetekeleza ujenzi wa Daraja China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) hilo lenye urefu wa KM 3.2 na kuzungumza na Waandishi wa Habari.

Aidha, Mhe. Malima amebainisha kuwa   kutakua na ucheleweshaji wa kukamilika kwa daraja hilo kwa miezi 8 hadi Novemba 2024 badala ya februari 2024 iliyopo kwenye Mkataba kutokana na Vifaa vya ujenzi wa mradi huo kupatikana kutoka nje ya nchi ambako pia wamekubwa na janga la Ugonjwa wa Uviko 19.

"Tukipata ucheleweshaji kutokana na Ugonjwa wa Covid 19 inawezekana lakini sio kwa udokozi huo ambao ni sawa na uhujumu uchumi, watafute biashara ingine ya nondo na vyuma lakini sio kwenye Miradi ya kitaifa maana tutawatolea mfano waone kisirani chetu maana hatuko tayari kurudishwa nyuma na watu hao." Mhe. Malima.

Ameongeza kuwa katika utekelezaji wa Ujenzi wa mradi huo Serikali ya Mkoa imejidhatiti kuweka hali ya Usalama ili kuhakikisha Mkandarasi anafanya kazi usiku na mchana ili kufanikisha ukamilishaji kwa amani, na kwamba kuanzia anayeiba, aliyepakia kwenye gari, atakayenunua na atakayejengea vyuma hivyo wote watakua hatiani.

"Hapa katikati palitokea sintofahamu ya udokozi wa vifaa pale kwenye mradi kama vyuma, nondo na vitu vingine nasi kama kamati ya usalama ya Mkoa tumejidhatiti kuhakikisha haliendelei suala hilo." Amesisitiza Malima.

Vilevile, ametoa rai kwa wananchi kuacha usumbufu kwa mafundi wanaojenga daraja hilo kwa kuwaingilia kwa kutumia daraja la Ujenzi ambalo sio lengo lake bali watakaokuwa na dharula nje ya Magari ya wagonjwa na Usalama watapaswa kupata kibali maalum kutoka kwa katibu Tawala Mkoa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti