• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WANAWAKE MKOANI MWANZA WAFANYA MATENDO YA HURUMA KWA WATOTO WENYE UHITAJI MAALUMU KATIKA SHULE YA MSINGI MITINDO - MISUNGWI

Posted on: March 6th, 2024

WANAWAKE MKOANI MWANZA WAFANYA MATENDO YA HURUMA KWA WATOTO WENYE UHITAJI MAALUMU KATIKA SHULE YA MSINGI MITINDO - MISUNGWI


Katika kuelekea kilele cha siku ya Wanawake Duniani, wanawake Mkoani Mwanza leo Machi 06, 2024 wamefanya matendo ya huruma kwa kutoa bidhaa za zaidi ya Milioni tatu kwa watoto 275 wenye uhitaji maalum katika shule ya msingi Mitindo wilayani Misungwi.

Akizungumza kwenye hafla hiyo fupi, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Bi. Hellen Boghohe ametumia wasaa huo kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajali na kuwapa kipaumbele watoto wenye mahitaji maalum nchini kupitia programu mbalimbali.

"Hongereni sana walimu kwa kuwa na mioyo ya upendo hata ukija hapa usiku utakuta watoto ni wasafi, hongereni sana kwa kujitoa kwenu. Amesema MNEC Boghohe wakati akiwapongeza walimu kwa malezi bora kwa watoto.

Janeth Shishila, Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Mwanza amewashukuru wanawake kutoka TANAPA Hifadhi ya Kisiwa cha Saanane, MWAUWASA, RUWASA, TANESCO, UWT - Mwanza, CHAVITA, AMANI GIRLS, Compassion Tanzania, AHUKI, BODI YA UTALII TANZANIA,  MSCL, NGOs zote za Mkoa wa Mwanza na sekta binafsi kwa kujitoa kuwafariji watoto.

Bidhaa zilizotolewa kwa uratibu wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa kushirikiana na Taasisi mbalimbali ni pamoja Mahindi, Mchele, Mafuta ya kupikia, Mafuta ya kupata, Sabuni, Dawa za meno, maji ya kunywa, unga pamoja na nguo.

Maadhimisho hayo ambayo yanafanyika Machi 08 kila mwaka, kimkoa mwaka huu yatafanyika Ijumaa ya wiki hii wilayani Misungwi huku yakichagizwa na kauli mbiu isemayoa ' Wekeza kwa wanawake kurahisisha Maendeleo ya Jamii na ustawi wa Taifa" ambapo Mgeni Rasmi atakua Mhe. CPA. Amos Makalla, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti