• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WATUMISHI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUWA WAWAJIBIKAJI

Posted on: February 24th, 2025

WATUMISHI SEKTA YA MAJI WATAKIWA KUWA WAWAJIBIKAJI


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amewataka Watumishi, Viongozi wa sekta ya Maji kuhakikisha wanatelekeza majukumu yao ipaswavyo kutokana na unyeti wa sekta hiyo.

Katibu Tawala ametoa rai hiyo mapema leo Februari 24, 2025 alipokuwa akiwakaribisha Viongozi na Wataalamu wa Sekta ya maji kutoka Wizara ya Maji Tanzania Bara na Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar, waliowasili Mkoani Mwanza kwa lengo la kujifunza masuala ya kisekta.

Bw. Balandaya amesema Maji ni sekta nyeti na hayana mbadala hivyo amesema endapo sekta hiyo itafanya vizuri basi Taswira ya viongozi Wakuu wa nchi kwa pande zote mbili Bara na Visiwani itakuwa imelindwa na kuaminiwa na wananchi.

“sekta ya maji ni muhimu sana kwa wananchi, ni vyema tukafanye kazi kwa bidii, uaminifu na weredi wa juu, tukailinde taswira ta Viongozi wetu kwa wananchi”.

Halikadhalika amepongeza utaratibu huo bora na mzuri wa kutembeleana na kufanya vikao vya kisekta hali inayopelekea uwajibikaji na uimarishaji wa huduma ya maji nchini.

Akizungumza mara baada ya kupokelewa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji, Nishati na Madini Zanzibar Bi. Mwanaloma Abdallah amesema ziara hiyo imebeba matarajio makubwa, Hata hivyo ameeleza katika kikao hicho kutasaidia utekelezaji wa miradi ambayo inahusiana na taasisi hizo.

Naye Mkurugenzi wa Sera na Mipango kutoka Wizara ya Maji Tanzania, Bw. Prosper Buchafwe amesema ziara hiyo inalenga pia kuonesha na kujifunza jinsi ya kuendeleza mashirikiano kati ya Wizara hizo na kuboresha huduma zinazotolewa na Taasisi hizo kwa Wananchi.

Wizara hizo zinazoshabihiana ziko Mkoani Mwanza kwa ziara na Vikao muhimu vya kisheria ambavyo hukutana mara mbili kwa mwaka vyenye lengo la kuimarisha ushirikiano na kupeana uzoefu, Aidha vikao na ziara hizo zinaratibiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais Tanzania.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti