• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WATUMISHI UKEREWE FANYENI KAZI KWA WELEDI KUEPUKA HOJA ZA KUJIRUDIA:RAS BALANDYA

Posted on: June 28th, 2024

WATUMISHI UKEREWE FANYENI KAZI KWA WELEDI KUEPUKA HOJA ZA KUJIRUDIA:RAS BALANDYA


Watumishi wa Halmashauri ya Ukerewe wametakiwa kufanya kazi kwa weledi na kutoa ushirikiano kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili kuepuka hoja za kujirudia.

Akizungumza kwenye Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo lililokutana kujadili hoja za CAG za mwaka 2022/2023, leo juni 28 2023 Balandya amebainisha kumekuwa na kasumba ya kutompa ushirikano mzuri CAG na matokeo yake hoja kuchukua muda mrefu kumalizwa.


"Nawapongeza sana kwa kuwa na hati safi kwa miaka 3 mfululizo, sasa ongezeni bidii katika mapato ya ndani ili muweze kuwa na miradi yenye tija kwa wananchi". Balandya.


Aidha amewataka Madiwani kudhibiti na kusimamia vizuri miradi ya maendeleo ambayo itachangia kuongeza kipato na hali bora kwa wananchi


"Halmashauri ya Ukerewe katika hesabu za mwaka 2023 ilikuwa na hoja 30, huku hoja 18 zimemalizwa hoja 8 zipo hatua ya utekelezaji na 4 zimejirudia". John Mashimo, CAG.


Naye Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mhe.Christopher Ngubiagai akitoa hotuba ya shukrani ameomba Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kuongeza idadi ya watumishi ili kuongeza ufanisi wa kazi.


"Ndugu Katibu Tawala hapa Halmashauri tuna upungufu wa watumishi kwa 53% yupo mwamasheria mmoja tu akipata dharura mambo mengi yanakwama". Amesema Mkuu wa Wilaya.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti