• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAZIRI KIKWETE ASHIRIKI MBIO ZA HISANI YA KUMBUKIZI YA MWL NYERERE

Posted on: October 12th, 2024

WAZIRI KIKWETE ASHIRIKI MBIO ZA HISANI YA KUMBUKIZI YA MWL NYERERE


WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu Mhe.Ridhiwani Kikwete amewaongoza washiriki 1450 katika mbio za hisani za kumbukizi ya miaka 25 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwl Nyerere  zilizoanzia eneo la Igoma hadi Kisesa Mkoani Mwanza.

Akizungumza na washiriki hao leo Oktoba 12,2024 mara baada ya kuhitimishwa kwa mbio hizo,Kikwete amewapongeza Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Mwanza pamoja na Shirika la Utangazaji TBC ambao wamebuni mpango huo ambao unaonesha Urathi wa Mwl Nyerere.

"Baba wa Taifa enzi za uhai wake aliwapigania watanzania kuepukana maadui watatu wa maendeleo ambao ni ujinga,maradhi na umasikini,hivyo leo tunamenzi kwa vitendo kwa mbio hizo zenye kuimarisha afya zetu",Mhe.Kikwete

Amesema licha ya kuimarisha afya zetu lakini zimeimarisha undugu na mshikamano miongoni mwetu kutokana na washiriki kutoka maeneo mbalimbali ya nchini kwetu.

Akitoa hotuba fupi kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri Patrobas Katambi,Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Said Mtanda amebainisha mwitikio mkubwa walioonesha washiriki wa mbio hizo ni ishara kwamba wamehamasika vya kutosha na ushiriki pia wa kilele cha Mwenge wa Uhuru siku ya Oktoba 14,2024.

"Mhe.Waziri Mwanza hatuna jambo dogo umeshuhudia wiki ya vijana tulivyojipanga vizuri pamoja na hii ambavyo vyote ni sehemu ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru na sasa tunakwenda kumuheshimisha Mhe.Rais kwa kujaa uwanjani CCM Kirumba,"Mkuu wa Mkoa.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji TBC Dkt.Ayub Rioba amesema mpango uliopo sasa ni kila kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru kutakuwepo na mbio hizo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti