• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WAZIRI MKUU ATUMIA JUKWAA LA MAADHIMISHO YA MUUNGANO KUKAGUA MIRADI UKEREWE

Posted on: April 25th, 2025

WAZIRI MKUU ATUMIA JUKWAA LA MAADHIMISHO YA MUUNGANO KUKAGUA MIRADI UKEREWE


Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa leo Aprili 25, 2025 amefanya ziara wilayani Ukerewe mkoani Mwanza kwa kufanya ukaguzi na kuweka jiwe la msingi katika miradi miwili inayotekelezwa na Serikali ikiwa ni sehemu ya kuelekea maadhimisho ya muungano ambayo kilele chake ni Aprili 26 mwaka huu.

Akizungumza wakati wa mkutano maalum na wananchi kwenye uwanja wa Getrude Mongela mjini Nansio, Waziri mkuu amesema mwaka huu hakuna maadhimisho rasmi ya sherehe za muungano na badala yake viongozi wanafanya shughuli za kukagua miradi ya maendeleo kwa wananchi kama anavyofanya hapa Ukerewe.

Awali kabla ya mkutano huo maalum, Mhe. Waziri Mkuu amefanya ukaguzi wa ujenzi wa hospitali ya rufaa ya mkoa iliyopo kijiji cha Bulamba kata ya Bukindo kwa gharama ya T shs bilioni 25,Waziri mkuu amewapongeza wananchi wa eneo hilo kwa kutoa hekari 16 bila fidia ili kupisha mradi huo mkubwa

"Nyie kweli ni wapenda maendeleo,Serikali inapata changamoto sana inapotaka kufanya miradi ya maendeleo wananchi kushinikiza malipo ili kupisha maeneo yao huku wakitoa sababu mbalimbali",Waziri mkuu.

Akiwa njiani kuelekea mkutano maalum,ameweka jiwe la msingi na kufanya ulaguzi  kwenye jengo la Halmashauri ya Ukerewe linalojengwam kwa gharama ya zaidi ya T shs bilioni 3.

Aidha Waziri mkuu akiwa kwenye mkutano maalum wa hadhara ametumia jukwaa hilo kuwakumbusha wananchi kuendelea kuuenzi muungano ulioadisiwa na Hayati Mwl Nyerere na Abeid Karume huku Serikali zote zikiendelea kuwapigania maendeleo wananchi wake.

"Ndugu wananchi katika mkutano huu wa kuelekea maadhimisho ya muungano nipo na wataalamu mbalimbali ambao watafanua hoja ambazo ni changamoto 'katika miradi yenu ya maendeleo,naanza na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tamisemi,Mhe.Festo Ndugange anayesimamia afya,"Mhe.Majaliwa.

Katika salamu zake za Mkoa wa Mwanza,Mkuu wa Mkoa huo,Mhe.Said Mtanda ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kuleta miradi mingi mkoani humo na hasa wilayani Ukerewe.

"Mhe.Waziri Mkuu kutokana na jiografia ya wilaya hii wananchi wamekuwa wakipata tabu kuja kupata matibabi mjini Mwanza au hapa Nansio,lakini sasa kukamilika kwa hopitali ya rufaa itakuwa ni mkombozi kwao,"Mtanda

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti