• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa kufungua Kongamano la Wachimbaji wadogo wa Madini Mwanza

Posted on: May 8th, 2023


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amewakaribisha wananchi waliopo Mikoa jirani siku ya kesho kujitokeza kumpokea Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kasim Majaliwa Majaliwa(MB) anayekuja kufungua kongamano la Wachimba Madini wadogo na kutembelea mabanda ya maonyesho ya shughuli hizo kwenye viwanja vya Rock City Mall.

Akizungumza leo katika Mkutano na Vyombo vya Habari,Mkuu huyo wa Mkoa amesema ziara hiyo ya siku moja ya Mhe.Waziri Mkuu,imewajumuisha kwenye kongamano hilo wadau wa Sekta ya Madini wapatao 1400.

"Hii ni fursa ya kipekee kwa Mkoa wetu kupata nafasi hii,wiki ya Madini inafanyika kwa mara ya kwanza chini ya Shirikisho la Vyama vya Wachimba madini wadogo FEMATA naamini elimu na majadiliano mbalimbali yatakayofanyika yataleta tija na kukuza uchumi wa nchi",Mhe. Malima.

Amesema Mkoa wa Mwanza unafarijika kwa kufanyika kongamano hilo na wiki ya Madini kwani baadhi ya Wilaya kama Misungwi,Sengerema na Kwimba zipo shughuli za kuchimbwa baadhi ya madini hivyo,wahusika watanufaika kwa namna moja au nyingine.

"Serikali imeweka mazingira mazuri kwa wachimbaji wadogo na hadi sasa zimetumika sh.Bilioni 145 kama mikopo kutoka Taasisi za kifedha ambapo hapo awali wachimbaji wadogo walikuwa wakihofiwa kupewa mikopo",Mhe.Dkt.Steven Kiruswa,Naibu Waziri wa Madini.

"Tumezidi kupiga hatua tofauti na hapo awali,tunafurahia kuwa na Serikali sikivu changamoto zetu nyingi zimefanyiwa kazi na sasa tunaendesha shughuli zetu kwa kujiamini na kulipa kodi," John Banna,Rais wa FEMATA.

Awali kabla ya Mkutano huo na Vyombo vya Habari Mhe.Malima,Kamati ya Usalama ya Mkoa pamoja,Naibu Waziri wa Madini na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela wamefanya ukaguzi wa mabanda ya maonyesho ya Madini yaliyopo kwenye viwanja vya Rock City Mall.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti