• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA URAIA NA UTAWALA BORA MWANZA

Posted on: March 6th, 2025

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA URAIA NA UTAWALA BORA MWANZA


Wizara ya Katiba na Sheria inaendelea kutoa mafunzo ya sheria kwa watendaji wa Serikali ili kuwawezesha kutekeleza majukumu yao kwa weledi na haki katika halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Mwanza.

Wakili wa Serikali Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Dorice Dario akizungumza leo wilayani Sengerema katika mafunzo amesema lengo kuu la mpango huo ni kuhakikisha kuwa watendaji wa Serikali wanapata uelewa mzuri wa sheria ili kutenda haki kwa wananchi pindi wanapo timiza majukumu yao.

Wakili Dario, amesisitiza kuwa kuelekea uchaguzi mkuu nchini ni muhimu kwa kila mtendaji kufuata misingi ya sheria na kuheshimu haki za raia.

“Tunataka kuona watendaji wa kata na maafisa usalama wanatekeleza majukumu yao kwa haki na usawa kupitia mafunzo haya tunaimarisha uelewa wao kuhusu sheria ili kuepusha ukiukwaji wa haki za binadamu,” amesema Wakili.

Naye, Wakili wa Serikali kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Nuru Mwambuli amehimiza watendaji kuzingatia misingi ya 4R za Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Samia Suluhu Hassan ambayo ni Maridhiano, Ustahimilivu, Mageuzi, na Kujenga Upya katika utendaji wao wa kila siku.

Amebainisha misingi hii ni muhimu katika kuhakikisha  haki inatendeka na wananchi wanapata huduma bora za kisheria.

“Uzalendo kwa Taifa letu unapaswa kuwa nguzo ya msingi kwa kila mtendaji wa Serikali. tunapaswa kuhudumia wananchi kwa haki, bila upendeleo, na kuhakikisha kuwa tunapiga vita ukatili wa aina zote,” Wakili Nuru.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti