• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUTOKOMEZA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA

Posted on: October 8th, 2024

WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI KUTOKOMEZA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (MB) amesema Serikali inaweka mikakati maalum kwa ajili ya kutokomeza na kupambana na uvuvi haramu katika ziwa Victoria ambazo zitasaidia katika kuzilinda rasilimali.

Amesema hayo wakati akizungumza na wadau wa uvuvi kutoka katika Mikoa ya kanda ya ziwa leo Oktoba 8, 2024 katika Ukumbi wa Nyakahoja Mkoani Mwanza.

Mhe. Ulega amewataka wavuvi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa Serikali ili kuweza kutokomeza uvuvi haramu na kusaidia katika upatikanaji wa malighafi katika viwanda vya samaki na kukuza ustawi wa sekta ya uvuvi.

Sambamba na hayo Mhe. Ulenga ametoa rai kwa wadau wa uvuvi kutoka katika Mikoa ya kanda ya ziwa kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika vikao na mikutano inayohusiana na maswala ya uvuvi kwakua maoni na mawazo yao yanamchango mkubwa Serikalini.

"Nyinyi ambao ndiyo wadau wenyewe mnaweza mkachukua kwa wepesi lakini nawaambieni kwa upande wa Serikali mnachukuliwa kwa uzito na ndiyo maana wakifanya maamuzi lazima watasema tulikaa na wadau". Amesema Mhe. Ulega.

Naye Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Ndg. Patrick Karangwa akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala amesema Mkoa unaendelea kusimamia rasilimali na uhifadhi wa ziwa Victoria kwa ustawi wa uchumi wa Taifa na wananchi.


"Mkoa unaendelea kusimamia utekelezaji kwa lengo la kulinda rasilimali za uvuvi katika ziwa Victoria ili kuweza kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla". Amesema kawamba

Nao baadhi ya washiriki wa kikao hicho wameiomba Wizara ya mifungo na Uvuvi kuwapatia vifaa vya kutosha Maafisa uvuvi ili kuwawezeshe kufanya kazi kwa wakati wote na kuhakikisha wanatokomeza uvuvi haram katika ziwa Victoria in.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti