• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

ZAIDI YA BILIONI 40 KUJENGA MIUNDOMBINU YA UMWAGILIAJI MWANZA, GEITA

Posted on: August 8th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesema serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya Tshs. Bilioni 40 kwa ajili ya kujenga na kukarabati miradi tisa ya umwagiliaji inayotarajia kuwanufaisha zaidi ya wakulima elfu 40 Mwanza na Geita .


Amebainisha hayo leo agosti 08, 2025 alipokua akihutubia maelfu ya wakulima, wafugaji, wavuvi na wajasiriamali katika kilele cha maadhimisho ya nane nane kanda ya ziwa magharibi yanayofanyika katika viwanja vya Nyamhongolo wilayani Ilemela.


Kadhalika ameeleza kuwa kwa kipindi cha 2020/25 serikali imetoa mbolea ya ruzuku ya Bilioni 6.4, Bilioni 4.7 kwa ajili ya ufugaji wa kisasa kwa vizimba ambapo zaidi ya vikundi 200 vimenufaika na Bilioni 263 zimetolewa kwa ajili ya chanjo za kuku na ng'ombe ndani ya mikoa hiyo.


Aidha, ameziagiza halmashauri kuendeleza viwanja hivyo kwa kuvijengea miundombinu ya kudumu na ya kisasa ili viwe na mazingira bora zaidi ya kuwahudumia wananchi katika kutoa elimu ya mashamba darasa kwa muda mrefu.


Akitoa taarifa ya maonesho hayo, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Bw. Peter Kasele amesema wadau wameongezeka kutoka 1110 (2024) hadi 1234 (2025) ikiwa ni ishara ya wananchi kuhamasika kutaka kujua matumizi ya teknolojia katika kuongeza uzalishaji.


Aidha, ametaja changamoto ya kukosekana kwa miundombinu ya kudumu kwa ajili ya mashamba darasa na kusababisha gharama za mara kwa mara kwa kuweka miundombinu ya muda mfupi kila mwaka mathalani vipando, majosho, wajasiriamali, mabwawa ya uvuvi wa kisasa na maeneo ya unenepeshaji wa mifugo.


Ndugu Wenceslaus Venant ambaye ni mkulima kutoka Kisesa wilayani Ilemela aliyekopeshwa trekta la kisasa kwa ajili ya kilimo na benki ya Azania kwa kushirikiana na Agricom ameishukuru serikali kwa kujenga mazingira rafiki kwa taasisi za kifedha na kuweza kutoa mikopo kwa wakulima pamoja na wafugaji.


Kilele cha maonesho hayo kimechagizwa na utoaji tuzo na zawadi ambapo Aqwa Eagle (Magu) wameongoza katika uvuvi wa samaki, Fresrick Katundala (Nyamagana) ufugaji Nyuki, Mkulima bora akiwa ni ndugu Bulimi Zakaria (Kwimba) na Shija Mashauri (Nyang'hwale) akiibuka kidedea kwenye ufugaji bora wa ng'ombe wa nyama

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti