• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

ZAIDI YA MITI MILIONI MOJA YAPANDWA SENGEREMA,CHANGAMOTO YA TABIA NCHI YATAJWA-HALMASHAURI

Posted on: September 14th, 2024

ZAIDI YA MITI MILIONI MOJA YAPANDWA SENGEREMA,CHANGAMOTO YA TABIA NCHI YATAJWA-HALMASHAURI


Changamoto ya hali ya ukame wa mvua imechangia kupunguza  kasi ya upandaji wa miti wilayani Sengerema licha hadi sasa kuwa na zaidi ya miti milioni moja.

Afisa mazingira wa Halmashauri ya Sengerema Tandi Laizer amebainisha kutokana na changamoto hiyo sasa hawana budi kugeukia kilimo cha umwagiliaji ili kuendelea na kampeni ya kuifanya wilaya hiyo kuwa ya kijani.

Amebainisha uwepo wa miti mingi kuna faida nyingi ikiwemo kupunguza hewa ya ukaa angani hivyo watahakikisha wanazidi kuwaelimisha wananchi kuhusu faida ya upandaji miti na hasa Ile inayovumilia ukame.

"Ofisi yangu inawaelimisha wananchi aina ya miti inayofaa kupandwa kwa nyakati kama hizi,na hii ni baada ya kubaini wengi wameingia hasara kutokana na bila kujua mti upi unavumilia ukame na kujikuta inakauka,"Afisa mazingira

Sisi tuna jumla ya miti 1862 tuliyoanza kupanda mwaka jana ikiwemo ya mbao na matunda,lengo letu ni kuwa na mazingira mazuri yatakayo kuwa na tija kwetu,"Mwl Emmanuela Mhekela

Akiwa katika ziara ya kukagua miradi ya maendeleo na kuhamasisha umuhimu wa kupanda miti,Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amewataka vijana kujikita katika zoezi hilo ambalo pia ni ajira kwao.

"Nimepitia pita kwa baadhi ya maeneo wilayani humu nimeona mlivyo hamasika lakini bado ongezeni kasi na kuwaelimisha wenzenu bila kujali rika",Balandya

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti