• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Zaidi ya Shs Bilioni moja za Mikopo ya Makundi Maalum zarejeshwa Mwanza

Posted on: July 20th, 2022


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Mhandisi Robert Gabriel amesema kufuatia Kampeni maalum aliyoiweka aprili 25 mwaka huu ya kurejesha fedha zilizokopwa na vikundi mbalimbali mkoani hapo na kutorejeshwa kwa wakati zaidi ya Tshs Bilioni 1.4 zirejeshwa serikalini .

Mhandisi Gabriel amesema hayo leo Julai 18, 2022 katika mkutano wake na waandishi wa Habari, ameeleza kuwa Tshs Bilioni 4.9 zilikopeshwa kwa vikundi mbalimbali katika kipindi cha Miaka mitatu ambapo hazikurejeshwa kwa wakati ndipo akawiwa kuanzisha kampeni ya kurudisha fedha hizo.

Vilevile, Mhandisi Gabriel amebainishaa kuwa mpaka sasa tayari Halmashauri za Mkoa huo zina Takribani Tshs. Bilioni 2.3 kwa ajili ya kukopesha kwenye vikundi vitakavyokidhi vigezo ametumia wasaa huo kuwakaribisha wananchi kuchangamkia fursa hiyo kuboresha mitaji yao.

Hata hivyo, Mhe. Gabriel ametoa wito kwa Maafisa Maendeleo ya jamii kutoka kwenye Halmashauri zote Mkoani humo kuvijengea uwezo vikundi kwa kuvipatia Elimu ya namna ya kuendesha miradi yenye tija na kuweza kurudisha fedha kwa wakati uliopangwa.

Aidha, Mhe Mkuu wa Mkoa amekemea suala la watumishi kuchukua fedha hizo kinyume na taratibu za fedha kwani kuna sheria na miongozo ya matumizi ya fedha hizo kutoka kwenye kifungu cha Maendeleo kutokana na asilimia 10 ya mapato ya ndani ya Halamshauri.

"Sisi kama Serikali hatutalifumbia macho suala la watumishi wa umma kuchukua fedha zilizolengwa kwa vikundi na kujinufaisha wenyewe hivyo watumishi watakao husika tutawachukuli hatua", amesema Gabriel.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti