• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Zingatieni Mafunzo kuepusha Serikali kuchukiwa na kuingia gharama za kisheria: Katibu Mkuu Ikulu

Posted on: January 22nd, 2024

Zingatieni Mafunzo kuepusha Serikali kuchukiwa na kuingia gharama za kisheria: Katibu Mkuu Ikulu


Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Mululi Mahendeka leo Januari 22, 2024 amefungua mafunzo ya Uzingatiaji Sheria, Kanuni na taratibu za utumishi wa Umma kwa Makatibu Tawala Wasaidizi, utawala na Rasilimali watu kutoka Mikoa ya kanda ya ziwa na kuwataka kuzingatia mafunzo hayo ili kuwepo na tija katika utoaji huduma kwa watumishi na wananchi.

Mahendeka amesema kutokana na kutoelewa kwa miongozo ya sheria imechangia kuwepo na mlolongo wa malalamiko kutoka kwa watumishi na wananchi yanayowafika viongozi wa juu hali ambayo imechangia kuzorotesha utendaji kazi wa Taifa kwa ujumla.

"Ndugu washiriki wa mafunzo haya ambao wengi wenu ni watumishi wenzangu,Ofisi ya Rais imeingia gharama ya kuandaa mafunzo haya kwa siku 5 ikitambua umuhimu wake,mkizingatia ipasavyo sheria,kanuni na taratibu mtaepusha Serikali kuchukiwa na kuingia gharama zinazotokana na mashauri yaliyotokana wahusika mliopewa dhamana ya kusimamia kushindwa kuwajibika kikamilifu,"Katibu mkuu Ikulu.

Amebainisha hakuna sababu ya kuwapa kazi ya kutatua kero wa za wananchi na watumishi viongozi wetu wa juu akiwemo Rais,Makamu wa Rais,Waziri Mkuu au Katibu mkuu kiongozi wakati waliopewa jukumu hilo wapo lakini wameshindwa kutimiza wajibu wao.

"Kushindwa kutafsiri vizuri sheria,kanuni na taratibu imechangia watumishi kutumia muda mwingi kwenye vyombo vya kisheria kusaka haki yao na kushinda mashauri yao na mwishowe Serikali kuingia gharama," Xaveri Daud Naibu Katibu mkuu OR-Menejimenti ya utumishi wa umma

Mwenyeji wa mafunzo hayo ambaye ni Katibu Tawala mkoa wa Mwanza Ndg.Balandya Elikana ameishukuru Ofisi ya Rais kwa kuyaleta mafunzo hayo Mkoani humo na kuwataka washiriki wote kuja na matokeo chanya baada ya kuelimishwa vyema.

"Tunapotoa huduma bora kwa wananchi na watumishi Imani kutoka kwao inazidi kuongezeka kwa Serikali hali itakayo kuwa na tija katika utendaji kazi kwa ujumla," Katibu Tawala mkoa.

Washiriki wengine katika mafunzo hayo wanatoka kwenye Taasisi za Serikali wataalamu wa sheria na Rasilimali watu kutoka mikoa ya Shinyanga,Mara,Geita,Simiyu,Mara,Kagera na Mwanza.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti