Leo Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mhe. Amir Mohammed Mkalipa, amemtembelea ofisini kwake Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa lengo la kujitambulisha na kusaini kitabu kufuatia uteuzi na uhamisho wa Viongozi alioufanya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 23 Juni, 2025 ambapo alimuhamisha Mhe. Mkalipa kutoka Wilaya ya Arumeru kuja Wilaya ya Ilemela.
Mhe. Mkalipa anachukua nafasi ya Mhe. Hassana Masala aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo.
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Hakimiliki©2018. Mkoa wa Mwanza . Haki zote zimehifadhiwa.