• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

ASASI ZA KIRAIA ZATAKIWA KUTOFADHILI UGAIDI

Posted on: August 19th, 2025

Serikali imesisitiza umuhimu wa kudhibiti mianya inayoweza kutumika na baadhi ya asasi za kiraia (Non-Profit Organizations) kufadhili vitendo vya kigaidi, ikiwa ni sehemu ya mapambano ya kitaifa na kimataifa dhidi ya ufadhili wa ugaidi na fedha haramu.


Akizungumza kwa niaba ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Ndg. Daniel Machunda amesema kumekuwa na ongezeko la wasiwasi duniani juu ya uwezekano wa baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali kutumiwa kufadhili ugaidi, hivyo ni wajibu wa wadau wote kushirikiana kuhakikisha udhibiti huo unafanyika mapema kabla haujawa tishio.


Ameeleza kuwa mapambano hayo yanapaswa kuwa endelevu huku Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ikiendelea kutekeleza sheria na kanuni za kudhibiti fedha haramu, ufadhili wa ugaidi pamoja na biashara ya silaha za maangamizi.


Aidha, Machunda amezitaka asasi za kiraia nchini kuzingatia misingi ya uwazi na uwajibikaji katika utekelezaji wa shughuli zao, ili kulinda taswira njema na kuondoa mashaka yoyote yanayoweza kujitokeza katika jamii au kwa wadau wa kimataifa.


Pia ametoa shukrani kwa Kitengo cha Kudhibiti Fedha Haramu (Financial Intelligence Unit – FIU) kwa kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Jumuiya, Ofisi ya Kabidhi Wasii (RITA), Non - Profit Organizations ( NPOs), Ofisi ya Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs) pamoja na Shirika la Ufadhili la Ujerumani (GIZ) kwa kuhakikisha semina na elimu juu ya udhibiti wa vitendo hivyo zinaendelea kutolewa kwa wadau mbalimbali nchini.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti