• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA

Posted on: February 4th, 2026

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amesisitiza kuwa maendeleo ya zao la choroko yanahitaji mshikamano na ushirikiano wa karibu kati ya Serikali, wakulima, sekta binafsi na wadau wa maendeleo.

Mhe. Mtanda amesema kupitia ushirikiano huo choroko linaweza kuwa zao la kimkakati lenye mchango mkubwa katika uchumi wa Taifa na ustawi wa wananchi.

Akizungumza katika mkutano wa wadau wa zao la choroko uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Nyerere Gold Crest, Mhe. Mtanda amesema Serikali kupitia Taasisi na Mamlaka zake imeweka mfumo imara wa uzalishaji, ukusanyaji, uhifadhi, uuzaji na malipo ya mazao kwa kutumia stakabadhi za ghala na minada ya kidijitali ili kuhakikisha soko la uhakika na bei imara kwa wakulima.

Aidha, amewahimiza Wakuu wa Mikoa kusimamia kikamilifu utekelezaji wa sera, sheria na miongozo ya Serikali, kuhamasisha wakulima kujiunga na vyama vya ushirika, pamoja na kuweka mazingira wezeshi kwa uwekezaji katika uhifadhi, usindikaji na biashara ya choroko.

Kwa upande wa wakulima, Mkuu wa Mkoa amewahimiza kutumia mbegu bora na kufuata kanuni bora za kilimo, kuvuna kwa wakati, kuzingatia taratibu za ukaushaji na uhifadhi, kuuza kupitia mifumo rasmi ya masoko, na kushirikiana na maafisa ugani pamoja na vyama vya ushirika ili kutatua changamoto za uzalishaji na masoko.

Naye Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA), Bi. Irene Mlola amesema ushirikiano wa wadau umeleta mafanikio makubwa ambapo Tanzania imeanza kutambulika kimataifa kama nchi inayothamini wakulima wake, kuwasajili katika mifumo rasmi na kuongeza tija kuanzia uzalishaji hadi sokoni.

Bi. Mlola amebainisha kuwa katika msimu wa mauzo ya choroko wa mwaka 2025, jumla ya tani milioni 23.4 ziliuzwa kupitia minada na mifumo rasmi, na kuingiza zaidi ya shilingi bilioni 28.9.

Ameongeza kuwa Mamlaka imeendelea kutoa miongozo, mafunzo kwa maafisa ugani na kuhamasisha uwekezaji, huku mikoa ya Simiyu, Mwanza na Shinyanga ikiongoza kwa uzalishaji na mauzo katika mfumo rasmi.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti