• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

RC Malima alishauri Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kutazama upya adhabu zake kwa wakiukwaji wa Sheria

Posted on: January 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.Adam Malima amelishauri Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kuangalia upya adhabu zake kwa wanaokiua Sheria kutokana na zilizopo kuonesha kupitwa na wakati.

Akizungumza na ujumbe wa Baraza hilo ulioongozwa na  Kamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani Kamishna Msaidizi mwandamizi wa Polisi Ramadhan Ng'anzi, Mhe. Malima amesema kumekuwa na hali ya kutozingatia sheria zilizopo kutokana na watumiaji kuona wepesi wa adhabu husika.

"Unakuta mtu anatumia kilevi huku gari lake limebeba abiria na inapotokea amesabanisha ajali na kuuwa watu anaishia kuonekana uraiani na kulipa adhabu ndogo, hii siyo sawa". Amesisitiza Mkuu huyo wa Mkoa.

Mhe.Malima amebainisha kuwa amepania kuuweka Mkoa wa Mwanza kama mfano wa kutokuwa na ajali kutokana na sheria zote za barabarani kuziwekea mkakati wa kuheshiwa na watumiaji wake.

"Tutaanza na kuweka ujumbe mahususi kwenye mabango yatayowekwa kwenye barabara kuu zote zinazoingia Mkoani Mwanza zinazowataka watumiaji kuzingatia sheria zote husika".Mhe Malima

Amesema,  amepoke kwa dhati  maamuzi ya kuufanya Mkoa wa Mwanza kuwa mwenyeji wa Sherehe za Kitaifa za Usalama Barabarani ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt Hussein Mwinyi.

Kwa upande wake Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kamishna Msaidizi mwandamizi Ramadhan Ng'anzi amesema mchakato wa marekebisho ya adhabu kwa wanaokwenda kinyume upo mbioni kufanyiwa kazi.

Sherehe za Kitaifa za Usalama Barabarani zitafanyika kuanzia tarehe 13 hadi 17 Machi mwaka huu Mkoani Mwanza zikitanguliwa na wiki ya Usalama Barabarani ambapo elimu mbalimbali zitatolewa kuhusiana vyombo vya moto vitumikavyo eneo hilo na haki ya mwenda kwa miguuu.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti