• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Bima ya Afya yahitaji Elimu – Mongella

Posted on: March 27th, 2018

Bima ya Afya yahitaji Elimu – Mongella

MKUU wa Mkoa wa Mwanza,John Mongella amewataka Wenyeviti wa Halmashauri na viongozi mbalimbali wa mkoa kuweka utaratibu wa wanatoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhumi wa bima afya.

Hayo aliyasema jana kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya Mkoa (RCC) kilichohudhuliwa a viongozi mbalimbali wa Serikali ,dini na wanasiasa, alisema ni vema kuhakikisha wananchi wanapatiwa elimu ili waweze kutambua umuhimu wa kutumia bima ya afya.

” Nasikitika kuona watu hawatambui muhimu wa kujiunga na bima ya afya kwani hurahisisha matibabu na gharama yake ni ndogo tofauti na mtu ambaye hatumii huduma hiyo,” alisema Mongella.

Mhe. Mongella ameongeza kuwa ili kuweza kupunguza vifo kwa wananchi ni vema kila kiongozi kuweka utaratibu wa kuelimisha jamii katika maeneo yao lengo ikiwa kupunguza na kumaliza tatizo hilo kwani watapata matibabu wakati wote.

“Ili tuweze kupunguza vifo vya watoto na wananchi kwa ujumla ni vema kuweka utaratibu wa kuwaelimisha wananchi kuhusu kutumia bima ya afya kwani inasaidai pindi ukiwa hauna hela na unaumwa au kuuguliwa,”alisema Mongella.

Aidha, ni dhambi kuto hamasisha wananchi kuhusu kutambua faida ya bima ya afya ambayo ni mkombozi kwa wenye hali ya chini kwani hutumia pesa nyingi katika matibabu wakati viongozi wanatumia na wamejiunga huduma hiyo.

Naye Clement Pancras Mwenyekiti wa ‘Chama cha Democratic Part’ (DP) alisema ni vema kwa viongozi kuhamasisha wananchi katika mambo ya msingi ikiwemo bima ya afya kwa ustawi wa maisha yao na taifa kwa ujumla.

 Alisema kila mwanachi atakapokuwa na bima itasaidia hasa wenye hali ya chini ingawa changamoto iliyopo ni upatikanaji wa dawa ambao itamlazimu mgonjwa kutoa fedha za kununulia, hivyo aliiomba serikali kupeleka na kuhakikisha dawa zote zinapatikana katika hospitali zote na kuleta maana halisi ya kutumia huduma hiyo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti