• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Hakikisheni utoro unadhibitiwa - Ligola

Posted on: April 5th, 2019


Wakuu wa Shule za Sekondari Mkoani Mwanza (TAHOSSA) wamefanya kikao katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Bwiru wakiwa na lengo la kuleta umoja na kujadili kuhusu maendeleo ya taaluma Mkoani hapo.

Akiongea katika kikao hicho Mgeni rasmi ambaye ni Afisa Elimu Mkoa wa Mwanza Michael Ligola amesema, ili kukuza taaluma ni lazima kila mmoja wetu kutimiza wajibu wake ikiwa ni pamoja na kuaminiana  na kuwa na nidhamu katika kazi kwa kuepuka udanganyifu na kutokujihusisha na siasa.

"Lugha nzuri kwa wasaidizi na wazazi wanaokuja kufuatilia maendeleo ya watoto huleta amani na ushirikiano katika kazi,hii huleta picha nzuri kwani hujenga uaminifu,"alisema Ligola.

Aidha aliongeza kuwa nidhamu ya wanafunzi imeshuka sana na hii ndiyo inayopelekea baadhi ya shule kuto faulu vizuri katika masomo, na kuwaasa wakuu hao kuhakikisha wanasimamia nidhamu ya wanafunzi na walimu pia.

"Hatupo katika kuhakikisha watoto wanafukuzwa shule, walimu wa malezi kwa namna moja ama nyingine, wajitahidi kurudisha nidhamu ya wanafunzi na kuhakikisha kuwa utoro unadhibitiwa pia walimu wanaokiuka taratibu wachukuliwe hatua.

Ligola amewataka wakuu wa shule kuwaamini na kuwaandaa   wasaidizi wao kuwa wakuu wa shule na viongozi wazuri wa baadaye katika Nchi hii.

Hata hivyo ameongeza kuwa ili kuendelea kufanya vizuri katika taaluma ni vema kufanya majaribio mara kwa mara, na amewahakikishia kuwa Serikali inafahamu changamoto wanazokumbana nazo walimu na inaendelea kuzifanyia kazi.

"Naye Mkuu wa Shule ya Sekondari  Nyampulukano Christine E. Zegela amesema mara nyingi wao wamefanikiwa kwa sababu pale mwanafunzi anaposhindwa kufaulu wanakaa naye kujua tatizo ni nini pia wanawaita wazazi ili kushauliana namna ya kuboresha elimu, hata hivyo walianzisha chakula shuleni hii imeboresha ufaulu kwa kiasi kikubwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya Sekondari ya wasichana Nganza Yasinta Lyimo amesema kuwa nidhamu  kwa walimu na wanafunzi ndiyo msingi wa ufaulu katika shule yao.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti