• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Halmashauri ya Buchosa yakabidhiwa Ng'ombe dume 36

Posted on: February 23rd, 2023


Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdullah Ulega amefanya ziara Wilayani Misungwi katika kituo cha Uzalishaji Mifugo Mabuki kwa lengo la kukabidhi Ng'ombe dume 36 aina ya (Boran Heifer) kwa muda Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga kwa ajili yakuongeza tija ya ufugaji kwenye Halmashauri ya Buchosa.

Kabla ya makabidhiano hayo Mhe.Ulega amezungumzia namna Rais wa Jamuhuri  ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan alivyoamua kuongeza thamani ya ufugaji kupiti program ya

"Samia ufugaji wenye tija" ametoa jumla ya Shilingi Bilioni 3.5 kwa Nchi nzima ili zikaongeze tija, katika fedha hizo Shilingi Milioni 878.4 zimetumika kununua ng'ombe Dume 366 huku 36 wakiletwa Buchosa.

Awali Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe. Senyi Ngaga ametoa shukrani kwa kukabidhiwa ng'ombe hao kwa ajili ya Halmashauri ya Buchosa. "Hii ni fedha na tungetamani pia haya tunayosema tuyaone kwa vitendo na tija inakuwepo".Mkuu wa Wilaya

 "Mkoa wa Mwanza unajumla ya ng'ombe 1,175,000 kimsingi Mifugo hiyo inatoa mchango mkubwa kuinua uchumi kwa watu wa Mkoa huu na kwa Serikali kwa ujumla"Emily Kasagara Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji

Aidha Mhe Ulega amesema haya yote yanafanywa kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2020 ambayo imewaelekeza kuhakikisha Serikali inakuwa na mikakati mbalimbali inayopelekea kufanya shughuli za watanzania kujiongezea kipato na kuongeza mchango wa sekta ya Mifugo na Uvuvi uwe mkubwa katika pato lake.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti