• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

Hongereni kwa huduma ya Maji Vijijini, Ongezeni bidii mfikie malengo ya asilimia 85: RAS Balandya

Posted on: January 11th, 2024

Hongereni kwa huduma ya Maji Vijijini, Ongezeni bidii mfikie malengo ya asilimia 85: RAS Balandya


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza Balandya Elikana amewapongeza Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) kwa uboreshaji wa huduma ya Maji na amewataka kuongeza bidii ili kufikia lengo la  asilimia 85 ifikapo mwakani.

Akizungumza leo kwenye kikao kazi cha watumishi wa Ruwasa kwenye ukumbi wa Mikutano Rocky City Mall, Balandya amesema kumekuwa na ongezeko zuri la upatikanaji wa rasilimali niyo tangu kuanzishwa kwake mwaka 2019 ikianza na 49% na sasa imefika 70%.

"Vikao kama hivi mnavyofanya kila mwaka vya kujitathmini utendaji wenu wa kazi ni muhimu kwani vitaongeza uboreshaji wa kazi zenu za kuwahudumia wananchi," amesisitiza Mtendaji huyo wa Mkoa wakati akizungumza na watumishi hao.

Amesema Rais Samia amedhamiria kuwaondeoea kero ya maji wananchi kwa kutoa fedha nyingi za miradi hiyo, hivyo ni wajibu wa watumishi hao kuhakikisha wanaisimamia kwa weledi miradi hiyo na inakamilika kwa wakati

Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Godfrey Sanga amebainisha kuwa kupitia kikao kazi hicho wanapata fursa ya kujadiliana changamoto mbalimbali na kuzipatia ufumbuzi lengo likiwa ni kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi vijijini.

"Tuna miradi 75 ya maji Vijijini inayoendelea kutekelezwa, mkakati wetu ni kuhakikisha tunaikamilisha kwa wakati ili kuwaletea maendeleo wananchi," Mhandisi Sanga.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti