• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

JAJI ASINA AWATAKA MAAFISA UANDIKISHAJI-KATA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA

Posted on: August 14th, 2024

JAJI ASINA AWATAKA MAAFISA UANDIKISHAJI-KATA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUJITUMA


Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe.Jaji Asina Omari amewataka Maafisa waandikishaji wasaidizi ngazi ya Kata kwenda kufanya kazi kwa weledi na kujituma ili kufanikisha zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

Jaji Mhe.Asina ametoa wito huo leo Agosti 14,2024 wakati alipokuwa akizungumza kwa nyakati mbili tofauti kwenye mafunzo kwa Watendaji hao yanayofanyika katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Bwiru (Kwa ngazi ya Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela) na katika Ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Mwanza (Kwa ngazi ya Halmashauri ya Jiji la Mwanza).

"Mmeteuliwa na kuaminiwa kwa ajili ya kufanya kazi hii, hivyo mkafanye kazi kwa weledi na kwa nguvu na uzalendo ili zoezi hili likamilike kwa mafanikio kama lilivyopangwa" alisema Jaji Mhe.Asina.

Kabla ya Kuanza kwa mafunzo, Maafisa hao waandikishahi wasaidizi ngazi ya Kata waliapa kiapo cha kutunza siri na kile cha kujitoa katika chama cha Siasa mbele ya Hakimu mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilemela Mhe.Juma Ondupo.

Haya yanafanyika ikiwa ni maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga Kura kwa Mkoa wa Mwanza na Shinyanga ambapo unatarajia kuanza tarehe 21 Agosti, 2024 hadi tarehe 27 Agosti, 2024, huku uboreshaji huu ukibebwa na Kauli mbiu ya "Kujiandikisha kuwa Mpiga Kura ni Msingi wa Uchaguzi Bora".

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti