• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

LENGO LANGU KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA ELIMU NI KUINUA KIELIMU MKOA WA MWANZA-RC MAKALLA

Posted on: July 4th, 2023

LENGO LANGU KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA ELIMU NI KUINUA KIELIMU MKOA WA MWANZA-RC MAKALLA


*Nipo mbioni kuitisha kikao kikubwa na wadau wa Elimu ili kupanga mikakati ya Mwanza kuwa bora kielimu*


*Aipongeza Serikali kwa kuendelea kuiboresha Sekta ya Elimu nchini*



Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe.CPA.Amos Makalla amesema kwa kushirikiana na Wadau wa Sekta ya Elimu atahakikisha anauinua Mkoa huo kielimu ukiwa ni mkakati wa kuiunga mkono Serikali inayoendelea kuiboresha Sekta hiyo.

Akizungumza leo Ofisini kwake na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolph Mkenda, Mkuu huyo wa Mkoa amebainisha ili kuwa na Taifa imara lenye kujiamini kimaendeleo elimu ndiyo msingi wa yote hivyo hana budi kuwa na mikakati endelevu ya Mwanza kuwa kinara kielimu.

"Mhe.Waziri hivi karibuni nina mpango wa kukutana na wadau wa elimu Mkoani Mwanza ili tuzungumze kwa pamoja na kuweka mikakati madhubuti ya Mkoa huu kuwa bora kielimu," CPA Makalla.

Kwa upande wake Mhe. Prof Mkenda amesema ziara yake Mkoani Mwanza na Mara ni kujiridhisha na Maendeleo yanayofanywa na Wizara yake ikiwemo kukagua ujenzi wa Chuo cha Teknolojia Da re-s-Salaam Tawi la Mwanza.

"Pale Butimba leo Mhe. Mkuu wa Mkoa nitafungua Mafunzo Endelevu kwa Walimu Kazini (MEWAKA) yanayotolewa kwa Maafisa elimu kata kutoka Mikoa nane ya Tanzania Bara, yote hii ni mikakati ya Serikali kuhakikisha tunainua Sekta ya Elimu," amesisitiza Mhe. Prof Mkenda.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti