• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MAAFISA UANDIKISHAJI MWANZA WATAKIWA KUSIMAMIA UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WELEDI

Posted on: August 10th, 2024

MAAFISA UANDIKISHAJI MWANZA WATAKIWA KUSIMAMIA UBORESHAJI WA DAFTARI KWA WELEDI


Mwenyekiti wa Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jaji Jacobs Mwambegele amewataka Maafisa Uandikishaji watakaohusika kwenye uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kusimamia zoezi hilo kwa weledi ili kuleta ufanisi.

Jaji Mwambegele amesema katika kufanikisha zoezi la uboreshaji wa daftari hilo ni lazima kufuata sheria za tume huru ya uchaguzi mathalani zinazosimamia uandikishaji wa wanachama wapya na uboreshaji wa taarifa kwa wanachama waliokuwepo na si vinginevyo.

Jaji huyo wa Mahakama ya Rufaa ametoa rai hiyo mapema leo Agosti 10, 2024 wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku mbili kwa watendaji ngazi ya mkoa kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura yanayofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa.

"Ni muhimu kuyaekeleza majukumu yenu kwa umakini hususani kwenye utunzaji wa vifaa ambavyo vimenunuliwa kwa gharama kubwa sana na vitatumika katika maeneo yote ya uboreshaji nchini hivyo ni lazima tukashirikiane kwenye hilo". Amesema Jaji Mwambegele.

Vilevile, amefafanua kuwa mafunzo hayo yatahusisha ujazaji wa fomu mbalimbali za kujiandikisha pamoja na matumizi ya vifaa vya bayometriki na kwa pamoja yatawapa uwezo wa kwenda kusimamia zoezi hilo katika ngazi za kata na uboreshaji kwa ujumla.

Awali, Hakimu Mkazi Mwandamizi kitoka Wilaya ya Ilemela Christian Mwalimu aliwaapisha maafisa uandikishaji wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambao kwa pamoja waliapa kutunza siri pamoja na kiapo cha kujitoa kwenye vyama vya siasa.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti