• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MAAMBUKIZI YA UKIMWI MWANZA YAPUNGUA : RC MTANDA

Posted on: May 29th, 2024

MAAMBUKIZI YA UKIMWI MWANZA YAPUNGUA : RC MTANDA


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said Mtanda amewashukuru wahisani kwa kusaidia juhudi za kupunguza maambukizi kwa vifaa na rasilimali watu kwa zaidi ya Bilioni 10 kwa kujenga Maabara ya Kisasa ya Uchunguzi wa Magonjwa hususani virusi vya Ukimwi

Ametoa pongezi na shukrani hizo tarehe 29 Mei, 2024 kwenye hafla ya kukabidhi Maabara ya Upimaji Usugu wa dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya Hospitali ya Kanda Bugando.

Ameongeza kuwa misaada mbalimbali imesaidia juhudi za serikali za kupunguza maambukizi nchini hadi kuifanya Mwanza kushuka Maambukizi kutoka asilimia 7.2 mwaka 2017/18 hadi 4.7 kwa sasa hivyo uongozi wa Mkoa unathamini sana.

Ameongeza kuwa, Maabara hiyo itasaidia kupima vimelea na maambukizi na kutoa dira kwa afua mbalimbali za kuzuia maambukizi ya Ugonjwa wa UKIMWI na kwamba mikoa ya kanda ya ziwa wamepata sehemu mahususi kwa tiba na uchunguzi.

Mganga Mkuu wa Mkoa Thomas Rutachunzibwa amesema amebainisha furaha ya sekta ya Afya kwa kushirikiana na wahisani hao kwa dahari ya miaka hususani kwenye utaalamu na minundombinu ya kufubaza maambukizi ya Ukimwi.

Mkurugenzi wa ICAP nchini, Haruka Maruyama ameshukuru uongozi wa Mkoa na Bugando kwa kukubari uwepo wa miundombinu hiyo muhimu kwa ajili ya kupima magonjwa mbalimbali kwa Watanzania kwani itasaidia kuboresha huduma hizo kwenye ukanda wa ziwa.


Akimuwakilisha Balozi wa Marekani nchini, Mtendaji wa CDC nchini Dkt. Mahesh Swaminathan amesema wanayo furaha kuwepo nchini kwa miaka 15 na kwamba wamesaidia takribani Shilingi Bilioni 4 kutekeleza mradi huo Bundando Hospitali.


Mkurugenzi wa Buganda Dkt.  Fabian Masaga amewashukuru wahisani PEPFAR na CDC kwa kushirikiana na ICAP Global Health kuwaboreshea maabara ya kisasa na rasilimali watu na kusaidia kupunguza matumizi ya nishati ya Umeme na Maji.


Ameongeza kuwa Bugando ina maono ya kukomesha magonja ya kuambukizwa pamoja na yake ya ukanda hivyo msaada wa maabara utasaidia juhudi hizo kwani pamoja na miundombinu wamewajengea uwezo watumishi wa maabara hiyo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti