• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA KUWEKA KAMBI YA SIKU 5 MWANZA

Posted on: June 17th, 2024

MADAKTARI BINGWA WA RAIS DKT. SAMIA KUWEKA KAMBI YA SIKU 5 MWANZA


Madaktari Bingwa wa Rais Mhe. Dkt. Samia wamewasili katika Mkoa wa Mwanza leo Juni 17 2024, ambapo watatoa huduma za kibingwa kwa wananchi wenye matatizo mbalimbali ya kiafya kwenye Halmashauri zote mkoani humo.

Huduma hizo zikiwemo upasuaji mkubwa wa magonjwa ya wakina mama,Figo na Saratani zitatolewa kwa muda wa siku tano kuanzia  tarehe 17 - 21 mwaka huu

Akizungumza wakati wa kuwakaribisha na kuwapokea madaktari hao, Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza Bw. Balandya Elikana amesema anawashukuru madaktari hao wapatao 45 na ameishukuru Wizara ya Afya kwa kufanikisha jambo hilo muhimu ambapo wananchi watapata huduma za kibingwa kwa gharama ndogo.

"Huduma zitawafikia wanachi huko waliko kwa gharama ndogo lakini mgonjwa atatakiwa kuchangia kiasi kidogo iwapo atahitajika kupata huduma zinginezo ikiwemo huduma ya vipimo, dawa na huduma za upasuaji",amesema Mtendaji huyo wa Mkoa

Aidha  Balandya ametoa wito kwa wananchi wote wenye matatizo ya kiafya kuhudhuria kwenye hospitali hizo za Wilaya kuonana na kutibiwa na madaktari bingwa ambapo itawasaidia kupunguza gharama za kusafiri umbali mrefu nje ya Wilaya zao kufuata huduma.

Naye Mwakilishi kutoka Wizara ya Afya Bi. Fideo Obimbo amesema lengo la ujio wa madaktari hao bingwa ni kuwafuata wagonjwa wale ambao hawana uwezo wa kufikia huduma za kibingwa na kampeni hiyo imelenga kufikia mikoa yote 26 ambapo kwa sasa wamefikia mikoa 20.

"Kampeni hii imekuwa na matokea chanya ambapo mpaka sasa tumeshafikia wagonjwa 51471, miongoni mwao wagonjwa 6571 tuliweza kuwapatia huduma na wakalazwa katika hospitali hizo hizo za ngazi za chini",Fideo

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti