• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MaDAS na Maafisa Tarafa zingatieni majukumu yenu ili mtoe huduma bora kwa wananchi-RAS

Posted on: July 22nd, 2023

MaDAS na Maafisa Tarafa zingatieni majukumu yenu ila mtoe huduma bora kwa wananchi-RAS


Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza, Ndg.Balandya Elikana amewakumbusha Makatibu Tawala Wilaya na Maafisa Tarafa Mkoani humo kutumia vyema mafunzo wanayopewa ili kwenda kutoa huduma bora kwa wananchi kwenye maeneo yao.

Akifungua kikao kazi kwa watumishi hao kwenye ukumbi mdogo wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Balandya amebainisha bado zipo changamoto kwa wananchi zikiwemo ufahamu wa sheria za nchi na haki zao hivyo huduma zao sahihi kutoka kwa watumishi hao ndiyo zitatoa ufumbuzi wa hali hiyo.

"Unakuta mwananchi anapoteza mali zake halali kama shamba au nyumba lakini anashindwa wapi pa kuanzia matokeo yake anaishia kudhulumika endapo mtakwenda kusimamia vyema majukumu yenu naimani matatizo kama hayo yatamalizika," amefafanua Mtendaji huyo wa Mkoa.

Aidha, ametumia jukwaa hilo kuwapongeza Makatibu Tawala wapya walioteuliwa hivi karibuni na Mhe Rais na kuwapa rai kuteuliwa huko waje na matokeo chanya kwenye maeneo yao ya kazi.

Mtoa mada kwenye kikao kazi hicho Katibu Tawala Msaidizi Utawala na Rasilimali Watu, Bw. Daniel Machunda amesema mafunzo hayo ni ya kawaida kwa watumishi hao kwa lengo la kuwajengea uwezo na hasa baada ya Mkoa wa Mwanza kuwapata watumishi wapya wa kada hiyo ya Makatibu Tawala.

"Lengo la Serikali siku zote ni kuwaona wananchi wake wanaishi kwa amani, usalama na kutambua haki zao zote za msingi katika maisha yao kila siku, sasa sisi watumishi ndiyo daraja kati ya Serikali kuu na Serikali ngazi ya Tarafa au Wilaya katika kuwatumikia wananchi",Machunda.

"Tunapopatiwa mafunzo kama haya yanatusaidia katika kutimiza majukumu yetu ya kila siku kwa lengo la kuwapa huduma yenye tija wananchi wetu", Gloria Kaywanga,Afisa Tarafa Inonelwa,Misungwi

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti