• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MGANGA MKUU WA MKOA AKABIDHIWA RASMI OFISI AAHIDI USHIRIKIANO NA WELEDI WA KAZI

Posted on: July 8th, 2024

MGANGA MKUU WA MKOA AKABIDHIWA RASMI OFISI AAHIDI USHIRIKIANO NA WELEDI WA KAZI


Aliyekuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza ambaye kwa sasa amehamishiwa Mkoa wa Dodoma Dkt. Thomas Rutachunzibwa amekabidhi rasmi Ofisi kwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Jesca Lebba aliyehamishiwa mkoani humo akitokea Mkoa wa Kigoma.

Akizungumza leo Julai 8 mara baada ya kukabidhiwa Ofisi Dkt. Lebba ameonesha kufurahishwa na mapokezi mazuri kutoka kwa wenyeji wake huku akisisitiza ushirikiano na kufanya kazi kwa weledi ili kuzidi kutoa huduma bora katika sekta ya afya.

"Mimi niwaombe tuendelee kushirikiana zaidi na zaidi, ninajua mna ushirikiano lakini tuongeze"Mganga mkuu

Aidha Mganga Mkuu huyo amewataka viongozi na wasimamizi mbalimbali wa Idara ya afya walioshiriki katika makabidhiano ya ofisi kuendelea kufanya kazi kama timu kwani kwa kufanya hivyo inarahisisha kazi.

"Tuongeze kasi ya mafanikio zaidi, tufanye kazi zenye matokeo halisi lakini pia tufuate sheria, taratibu na kanuni". Amesema Dkt. Lebba.

Naye aliyekuwa Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Dkt. Thomas Rutachunzibwa amesema anaamini ameiacha ofisi katika mikono salama kwani anamfahamu vizuri Dkt. Lebba na anamini katika ufanisi wa utendaji kazi wake hivyo ametaka apatiwe ushirikiano wa kutosha.

"Ninaamini tulishirikiana vizuri sana na ninawaombeni mumpatie ushirikiano wa kutosha Dkt. Lebba kama mliokuwa mkinipatia mimi".Dkt. Rutta

Aidha Dkt. Lebba ameitambulisha rasmi kauli mbiu watakayokuwa wakiitumia katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku isemayo "Mwanza Safi ya Kijani" kwa kuwataka wasimamizi wote wa afya katika ngazi zote kuhakikisha maeneo wanayoyasimamia wanapata rangi ya kijani tu ambayo inaashiria kufanya vizuri.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti