• barua pepe
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Wasiliana Nasi
Mwanza Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government
Mkoa wa Mwanza

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Mwelekeo
    • Historia ya Mkoa
    • Muundo
  • Wilaya
    • Babati
    • Mbulu
    • Hanang
    • Kiteto
    • Simanjiro
  • Idara
    • Utawala na Rasilimali Watu
    • Planning and Management
    • Fedha na Uhasibu
    • Ukaguzi wa Ndani
    • ununuzi na Ugavi
    • Uchumi na Uzalishaji
    • Miundombinu
    • Serikali za Mitaa
    • Social Welfare
    • Tehama
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
  • Investments
    • Investment One
    • Investment Two
    • Investment Three
    • Investment Four
    • Investment Five
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Maktaba ya Picha
    • Sports and Games
    • Hotuba
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video

MIRADI YA MAJI YA ZAIDI YA SHS BILIONI 34 YATEKELEZWA SENGEREMA:DC NGAGA

Posted on: September 14th, 2024

MIRADI YA MAJI YA ZAIDI YA SHS BILIONI 34 YATEKELEZWA SENGEREMA:DC NGAGA


Serikali ya Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan imepewa pongezi kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maji wilayani Sengerema yenye thamani ya zaidi ya shs bilioni 34 ambayo imeongeza kasi ya maendeleo

Miradi hiyo inayotekelezwa na Wakala wa maji na usafi wa mazingira vijijini,RUWASA imenufaisha vijiji vingi wilayani humo vikiwemo Chimfumfu,Nyakahabo na Lukumbi ambapo jumla ya wananchi 31000 kutoka vijiji hivyo wamenufaika.

Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Mhe.Senyi Ngaga ametoa taarifa hiyo kwa Katibu Tawala wa mkoa wa Mwanza,Balandya Elikana alipofanya ziara ya kuwatembelea wananchi wa Kijiji cha Chimfumfu kuona wanavyo nufaika na miradi ya maji.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema upatikanaji wa maji vijijini umechangia pia pato la kila familia kutokana na mama kuwa na nafasi ya kufanya shughuli za kiuchumi badala ya kutumia muda mwingi kusaka maji ya umbali mrefu.

"Tuna ishukuru Serikali kwa kutupatia  huduma ya maji safi na salama,sisi wakazi wa kijiji cha Chimfumfu tumefaidika na mradi wetu wa maji,'Bi.Consolatha Medadi,mkazi wa  Chimfumfu.

Meneja wa RUWASA wilaya ya Sengerema Mhandisi Francis Masawe amesema mradi wa maji wa Chimfumfu umegharimu shs bilioni 2.9 na kuendelea kuwa na tija kwenye vijiji vitatu.

Aidha Ndugu Balandya amewataka wananchi hao kusimamia na kuilinda miundombinu hiyo ya maji kwa faida ya vizazi vijavyo,kwani Serikali imetoka fedha nyingi ili kuhakikisha wanapata huduma endelevu ya rasilimali hiyo.

Latest Announcements

  • Tangazo la kukutana na Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwa shida mbalimbali.

    soma zaidi
  • TANGAZO LA NANENANE TAREHE 8.8.2025

    soma zaidi
  • View More

Habari Mpya

  • SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA: UKEREWE YAPATA AJIRA 127
  • RC MTANDA AWASILI WILAYANI UKEREWE KWA ZIARA YA KIKAZI
  • MWANZA YAIMARISHA UTETEZI WA WATU WENYE ULEMAVU
  • SERIKALI YAAHIDI KUENDELEA KUTOA USHIRIKIANO KWA WADAU WA SEKTA YA BIASHARA
  • CHOROKO KWENYE RAMANI YA UCHUMI WA TAIFA
  • soma zaidi

Wasiliana Nasi

Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government Mkoa wa Mwanza
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mkoa wa Mwanza, 2 Regional Drive
S.L.P: 119, Mwanza.
Simu: 028-2501037
Barua Pepe: ras@mwanza.go.tz
Simu ya Mkononi: 028-2501037
Balewa/Machemba Road Street
S.L.P: S.L.P 1333, Mwanza
Simu: +255 28 250 1375
Barua Pepe: cd@mwanzacc.go.tz
Simu ya Mkononi: 0768520195
Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela
S.L.P: S.L.P 735, Mwanza
Simu: + 255 736 200910
Barua Pepe: md@ilemelamc.go.tz
Simu ya Mkononi:
Halmashauri ya Wilaya ya Magu
S.L.P: S.L.P 200, Magu
Simu: 028-2530035/2530003
Barua Pepe: ded@magudc.go.tz
Simu ya Mkononi:

Viunganishi vya Haraka

  • Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara
  • Makusanyo ya Ndani ya Halmashauri za Mkoa wa Mwanza
  • PReM
  • Fomu ya Ugonjwa
  • Opras fomu
  • Miongozo ya mfumo wa bajeti na Mipango
  • FFARS User Guidelines
  • OFISI MTANDAO

Viunganishi Linganishi

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Salary Slips Portal
  • Tovuti ya Sekreatarieti ya Ajira Tanzania
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania
  • Tovuti ya Ikulu
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti Rasmi ya Wananchi
  • Tovuti Kuu ya Takwimu Huria

Social Media

  • Like us on Facebook
  • Follow us on Twitter
  • Find us on Youtube
  • Follow us on Instagram

Copyright ©2016 GWF . All rights reserved.

  • Kanusho
  • Sera ya faragha
  • Maswali ya Mara kwa Mara
  • Ramani ya Tovuti